Ninawashangaa sana wasichana wenye tabia hii

Ninawashangaa sana wasichana wenye tabia hii

Una ujumbe mzuri ila umetoa kwa wasio walengwa.Hapa ni kijiwe cha wazoefu wa kujipenzisha.Madada wa hapa route zao ni ndefu:

mwalimu wa twishen
mwanafunzi(mkali wa hesabu)
muuza chipsi vumbi
Dereva Bodaboda/bajaji
Dereva taxi
jiran nyumba ya pili
Afisa mwajiri
boss ofisin
mfanyakazi mwenzie
kaka wa rafiki yake
ex boyfriend wa dadake


yaan list ni ndefu!!

SASA HAWA SIO WA KUWAPA USHAURI.
 
hahaha n nouma sasa ww unachukia n nin? kwan wote wake zako?
 
heh ungekuwa mwanamke u wud understand the pressure...
Kujitunza unataka,jamaa unampenda na mchezo hata we unapenda...choose
 
Kwani hyo sheria ipo wapi kwamba sex ni mpaka ndoa si imani tu ambayo hulazimish kuamini
 
Kwani hyo sheria ipo wapi kwamba sex ni mpaka ndoa? Hyo ni imani tu ambayo hulazimishwi kuamini
 
Mimi nlivyomwelewa mtoa mada ni kwamba ile tabia ya kumfunulia kila mtu...mm mwenyewe sikubali demu wangu animyime mzigo..ila kuna ile mademu sijui kwa kutojiamini au kwa kushindwa kuset standard kila mtu akiomba anapewa..ukichukua namba ya simu ukimkaribisha kwako tu anakuja kama mbwa kaona chatu no standard no class..mwishoe inafika kila mwezi mtu ana pid, uti, vaginitis ma papuchi haithaminiki tena..
 
heh ungekuwa mwanamke u wud understand the pressure...
Kujitunza unataka,jamaa unampenda na mchezo hata we unapenda...choose
Mimi nlivyomwelewa mtoa mada ni kwamba ile tabia ya kumfunulia kila mtu...mm mwenyewe sikubali demu wangu animyime mzigo..ila kuna ile mademu sijui kwa kutojiamini au kwa kushindwa kuset standard kila mtu akiomba anapewa..ukichukua namba ya simu ukimkaribisha kwako tu anakuja kama mbwa kaona chatu no standard no class..mwishoe inafika kila mwezi mtu ana pid, uti, vaginitis ma papuchi haithaminiki tena..
 
Una ujumbe mzuri ila umetoa kwa wasio walengwa.Hapa ni kijiwe cha wazoefu wa kujipenzisha.Madada wa hapa route zao ni ndefu:

mwalimu wa twishen
mwanafunzi(mkali wa hesabu)
muuza chipsi vumbi
Dereva Bodaboda/bajaji
Dereva taxi
jiran nyumba ya pili
Afisa mwajiri
boss ofisin
mfanyakazi mwenzie
kaka wa rafiki yake
ex boyfriend wa dadake


yaan list ni ndefu!!

SASA HAWA SIO WA KUWAPA USHAURI.
Mimi nlivyomwelewa mtoa mada ni kwamba ile tabia ya kumfunulia kila mtu...mm mwenyewe sikubali demu wangu animyime mzigo..ila kuna ile mademu sijui kwa kutojiamini au kwa kushindwa kuset standard kila mtu akiomba anapewa..ukichukua namba ya simu ukimkaribisha kwako tu anakuja kama mbwa kaona chatu no standard no class..mwishoe inafika kila mwezi mtu ana pid, uti, vaginitis ma papuchi haithaminiki tena..
 
tuanzie hapo kwanza!!
Mimi nlivyomwelewa mtoa mada ni kwamba ile tabia ya kumfunulia kila mtu...mm mwenyewe sikubali demu wangu animyime mzigo..ila kuna ile mademu sijui kwa kutojiamini au kwa kushindwa kuset standard kila mtu akiomba anapewa..ukichukua namba ya simu ukimkaribisha kwako tu anakuja kama mbwa kaona chatu no standard no class..mwishoe inafika kila mwezi mtu ana pid, uti, vaginitis ma papuchi haithaminiki tena..
 
Kwa nini usianze kuwashangaa wavulana/wanaume ambao wanaomba kutafuna papuchi kabla ya kuoa?
Mtoa mada kamaanisha kwamba mwanamke lazima awe na class na standard..kukamuana kupo lakini sio zile meneja bank twende, trafic twende, msafisha kucha na miguu twende, daktari kala... Yaani unakuta mtu mpaka inafikia papuchi yale kaipa thamani ndogo sana(kajichoka) haujawahi kuona watu kama hawa..unakuta mtu kila mwezi anatiniwa uti, fungus, pid nk.. Mwili wake kaupa thamani ndogo sana alishageuzwa na kila aina ya mwanaume na sisi wengine tunaamini hata ma wewe ukila demu ka huyo unajipa minuksi tu..
 
Kwanini niuziwe mbuzi kwenye gunia?
Mtoa mada kamaanisha kwamba mwanamke lazima awe na class na standard..kukamuana kupo lakini sio zile meneja bank twende, trafic twende, msafisha kucha na miguu twende, daktari kala... Yaani unakuta mtu mpaka inafikia papuchi yale kaipa thamani ndogo sana(kajichoka) haujawahi kuona watu kama hawa..unakuta mtu kila mwezi anatiniwa uti, fungus, pid nk.. Mwili wake kaupa thamani ndogo sana alishageuzwa na kila aina ya mwanaume na sisi wengine tunaamini hata ma wewe ukila demu ka huyo unajipa minuksi tu..
 
according to principle of Use and Disuse " It state that , the more an organ is frequently used the more efficient it becomes otherwise it becomes obsolete" hahaha don't try this at home
 
Wenzako huwa wanatingisha kiberiti mpaka ndoa na mwanamume kweli anajifanya hazitaki mbichi hizi lakini mdada mwenyewe bila kulazimishwa analegea, kwa mshangao wako utasema hujui mazingira ya Tanzania au ulimwengu wa leo wenye changamoto tele
 
Back
Top Bottom