Ninavyoimudu ndoa ya Wake Wawili

Ninavyoimudu ndoa ya Wake Wawili

Mbona wawili na si zaidi. mbona Hao wamama unaishi kwa vitisho ,kwa nini? kwamba anayetaka kuondoka aombe talaka utampa. Inaonekana wanakutegemea kwa mahitaji yao. hicho ndicho kinakufanya uwafuge. Siku wakipata jinsi ya kujitegemea utawapoteza.
Hata hao bibi zetu waliokuwa wakiolewa wengi, walikuwa wakipata uwezo wanahama kwa mzee na kuanza maisha yao
Sijajua unamaanisha nini but inshort mke mkubwa take 1.9m na mdogo sijui ila ni NESI sasa wananitegemea kivipi. .
 
Unawapenda wote na wenyewe wanakupenda,utulie basi maana hela ikikuchanganyia utataka kuongeza mwingine...
 
yani ulichodhirisha kuwa wewe ni mburura ni kuwa siku zote unaenda kanisani ukiamini kanisa linaitaji sadaka zako na ss ambavyo huendi umelikomoa...
pole
 
Kukubali kuolewa wake wawili yahitaji moyo.
Mimi siwezi.
 
Makanisa ya sasa duniani ukiwa na mke zaidi ya mmoja unatengwa fasta! Ila ukiwa changudoa au shoga wala hutengwi! Yaani wanavyochukia polygamy sijui imewakosea nini wakati manabii kibao hadi walioongea ana kwa ana na Mungu walikuwa na wake zaidi ya mmoja na Mungu hakuwahi kuwaambia marufuku! Hawa ambao hata sauti ya malaika hawaijui ndiyo wanapiga vita polygamy, ushoga ambao Mungu hakuwahi kuhalalisha na alichoma moto mji mzima ndiyo tunaambiwa tuwavumilie tuwa tolorate ila polygamists tuwatenge!
 
Mapenzi hayashewi hata iweje ila sababu tunakoelekea kila kitu kinasolviwa na ela basi hata mapenzi yataigizwa tu ila deep down kuna moshi

Cc Kingsmann
 
Makanisa ya sasa duniani ukiwa na mke zaidi ya mmoja unatengwa fasta! Ila ukiwa changudoa au shoga wala hutengwi! Yaani wanavyochukia polygamy sijui imewakosea nini wakati manabii kibao hadi walioongea ana kwa ana na Mungu walikuwa na wake zaidi ya mmoja na Mungu hakuwahi kuwaambia marufuku! Hawa ambao hata sauti ya malaika hawaijui ndiyo wanapiga vita polygamy, ushoga ambao Mungu hakuwahi kuhalalisha na alichoma moto mji mzima ndiyo tunaambiwa tuwavumilie tuwa tolorate ila polygamists tuwatenge!
Nabii gani alikuwa na wake wengi?
 
nilijua mwenye wake wawili humu ni mm tu peke yangu, ila hawa viumbe wanahitaji ubabe sana ndio utaweza kuishi nao vizuri maana ukichekacheka nao hawachelewi kukupangia njama za kukuendesha kama vile wao ndio walio kuoa wewe
 
Safi mkuu ila kwa hari ya maisha ya sasa muda wowote kaa tayari kumpokea mgeni ambaye aliimbwa na marehemu captain John komba.
 
Back
Top Bottom