Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Bimkubwa amesema wazi kabisa kwamba ahitaji kushauriwa juu ya nini afanye kwa mzazi mwenzie huyo, bali yeye ameomba kusaidiwa kile ambacho anaona kinampa msukumo moyoni mwake....
Mkuu, wewe kama una mahasira na mzazi mwenzio basi usihamishie mtazamo wako kwenye huu uzi.
Bimkubwa hajaomba ushauri zaidi ya mchango wako ambao ni muhimu sana kwa haja ya moyo wake.....
 
Swadataaaaa
 



Hua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.

Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!

Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
 
Pole Sana mkuu, kumbe umeikula Chumvi
 
Pole sana mama, Mungu akupe nguvu ktk hili.
Sae ya Juu au ya chini?maana kuna Sae 2.
 
Hua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.

Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!

Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
Kushare tatizo lako na wenzako na kupata mawazo yao kwa kiasi kikubwa husaidia kupunguza mawazo ambayo mwenye tatizo huwa nayo na hivyo kupunguza hatari ambayo ingetokea iwapo angebaki nalo mwenyewe

Hili la kukomaa kisabuni ndio mwishowe unasikia mtu kajiua aidha kwa kujinyonga au kunywa sumu maana alikaa na tatizo mwenyewe akidhani halina suluhu kumbe angeshare na watu kama alivyofanya mleta mada angepata msaada
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…