Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,241
- 54,614
πππππ π Atalia Mee Mee MeeNaona unachukua mkopo ili ndio kwanza uanzishe biashara mpya πππ...
Kila kheri mkuu
πππππ π Atalia Mee Mee MeeNaona unachukua mkopo ili ndio kwanza uanzishe biashara mpya πππ...
Kila kheri mkuu
Moderators naombeni sheria ichukue mkondo wake Kwa huyu mtuElezea vizuri sio kila swali uulizwe umeleta uzi kuomba msaada wa ushauri alafu unataka sisi ndio tukuulize swali moja moja? Pumbav sasa hapo umesema unataka ufanye uwekezaji uwekezaji gani? Wa Mikundu??
HahaaaaaMimi sio Kapuku mkuu na sijawahi kuchukua mkopo na niko vizuri kimaisha
Naombwa kila leo nichukue mkopo ila nimekataa na ninaendelea na maisha mazuri kuliko hao makapuku waliochukua mkopo bila akili na mwisho kwa aibu gari linapita na maspika kutangaza uuzwaji wa nyumba zao na kurudi umasikini au kuwa jambazi kabisa na kwenda kutafuta SMG
Ila hao matajiri kila mmoja ana nafsi yake
Asilimia 16% ya milion 50 au asilimia 16% ya kila unachotakiwa kurejesha kwa utaratibu utakaopewa !?Habari za asubuhi wadau.
Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Kwa mwaka riba ni 4M nalipa sawa na 400k per month
Zile hesabu za makaratasi eti fremu moja napangisha Laki na nusu kwa mwezi, kwa hiyo frem 10 ni milioni moja na nusu kwa mwaka milioni 15, kwa miaka 9 ni 15M x 9Shida siyo mkopo. Shida ni unaenda kufanyia nini? Usijekuta unaenda kujenga fremu za maduka Kantalamba.
Na hakuna mkopo usio na riba.Mkopo wenye Riba hauna baraka...utakufelisha tu mbeleni
Nakushauri uachane na huo mkopo. Unaweza kufikiri 50m, ni pesa nyingi, lakini kwa hali ya uchumi ilivyo sasa, ni pesa kidogo sana.Niko in between kuchukua nataka na kuacha pia nataka
Mutual fund ipi?Kuna compound effect Mkuu ..Niko tayar zikae hata miaka 30
UTT, kwa hiyo 50m, atakuwa anapata gawio la 433,000.= kwa mwezi. Kwa mwaka ~500k x miaka 9 = 45m +50m = 95mIdea nzuri, fanya tu hivyo, After 9 years una 200M unaweza kuwa unapata gawio la 2M monthly
Akipata huo mkopo atajua ladha ya kila bia, wanawake na huenda akavuta hata kavitz au ist ka kutembelea bar za daresalaam. Atakuja kukumbuka utt, pesa zikiwa zimesalia laki tano tu. Chezea mkopo wewe!basi acha kuharibu matumizi ya hela.
Miaka 9 sio mingi kabisa.
Lakini wewe ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
Yeye hatakua anachukua kwa mwezi kwa kuwa atakuwa anakuza mtajiKuna uwezekano akawa anachukua laki 5 kila mwezi
Mkuu, kwa nilivyokuelewa hiyo 400K ni rejesho ya riba, Je rejesho lote (riba + deni) kwa mwezi itakuwa kiasi gani?
Umesema unataka kuweka UTT, kwa uelewa wangu ukiweka UTT hiyo 50M mfuko wa bond, kwa mwezi utapata ~430K.
Je hiyo faidia ya mwezi kutoka UTT itaweza kulipa rejesho lote la mwezi kwenye benki? Utabakia na kitu chochote?
Kwa kifupi,
Mimi niliwahi kupiga mahesabu ya kuchukua mkopo benki na kupeleka UTT, na ile faida ya UTT ndo iwe rejesho, lakini mahesabu yalikataa. Faida unayoipata UTT ni ndogo / haiwezi rudisha rejesho lote kwa mwezi labda uongezee kutoka mfukoni mwako.
Au, uongee na hao watu wa mkopo wa benki waweze kupunguza rejesho lako la kila mwezi, lakini hii itafanya muda wa kurudisha mkopo uwe mref
Mkuu, kwa nilivyokuelewa hiyo 400K ni rejesho ya riba, Je rejesho lote (riba + deni) kwa mwezi itakuwa kiasi gani?
Umesema unataka kuweka UTT, kwa uelewa wangu ukiweka UTT hiyo 50M mfuko wa bond, kwa mwezi utapata ~430K.
Je hiyo faidia ya mwezi kutoka UTT itaweza kulipa rejesho lote la mwezi kwenye benki? Utabakia na kitu chochote?
Kwa kifupi,
Mimi niliwahi kupiga mahesabu ya kuchukua mkopo benki na kupeleka UTT, na ile faida ya UTT ndo iwe rejesho, lakini mahesabu yalikataa. Faida unayoipata UTT ni ndogo / haiwezi rudisha rejesho lote kwa mwezi labda uongezee kutoka mfukoni mwako.
Au, uongee na hao watu wa mkopo wa benki waweze kupunguza rejesho lako la kila mwezi, lakini hii itafanya muda wa kurudisha mkopo uwe mrefu z
Sitaweka bond fund Mkuu nitaweka liquid fund na jikimu....narely kwenye compounding effect nitakaa pesa zikae zijizalishe Kwa miaka 30Mkuu, kwa nilivyokuelewa hiyo 400K ni rejesho ya riba, Je rejesho lote (riba + deni) kwa mwezi itakuwa kiasi gani?
Umesema unataka kuweka UTT, kwa uelewa wangu ukiweka UTT hiyo 50M mfuko wa bond, kwa mwezi utapata ~430K.
Je hiyo faidia ya mwezi kutoka UTT itaweza kulipa rejesho lote la mwezi kwenye benki? Utabakia na kitu chochote?
Kwa kifupi,
Mimi niliwahi kupiga mahesabu ya kuchukua mkopo benki na kupeleka UTT, na ile faida ya UTT ndo iwe rejesho, lakini mahesabu yalikataa. Faida unayoipata UTT ni ndogo / haiwezi rudisha rejesho lote kwa mwezi labda uongezee kutoka mfukoni mwako.
Au, uongee na hao watu wa mkopo wa benki waweze kupunguza rejesho lako la kila mwezi, lakini hii itafanya muda wa kurudisha mkopo uwe mrefu zaidi.