Don Nzoko
JF-Expert Member
- Jan 6, 2020
- 290
- 297
Lissu alisema kweli hatujawa tayari mkuu hata hao wazimbabwe kabla hawakuwaza mfumo wa Mugabe kwamba ni mbaya ila njaa ipokaza mixer vikwazo akili zipo sawa so ujasiri unaotaka kwa Lissu utakuja njaa ikitukaba vizuri akili zikawa tayari then atarudi kuwa mbele ya mapambanoKwa bahati mbaya sikuwepo nchini, ningekuwa mbele kabisa. Sina woga wala hofu ya risasi kupigania demokrasia