Ninapokea Usd485 Leo ndani ya siku nane tu, jitahidi na wewe!!

Ninapokea Usd485 Leo ndani ya siku nane tu, jitahidi na wewe!!

Hakuna hela rahisi kwa mtindo kama huu vijana fanyeni kazi acheni kubweteka.
 
jambo msilojua watanzania hadi mnatapeliwa ni kuwa tapeli akileta utapeli anatokea tapeli mwenzake au yule yule kwa id tofauti na kusema yeye amefanikiwa ili kuwapa nyie imani muone kumbe kuna watu wamepata

Hapo sasa ndio unachinjwa vizuri sasa,Amkeni fanyeni kazi,wabiashara afanye na wa kufuga afuge hakuna mambo ya kirahisi rahisi
 
Back
Top Bottom