Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 318
- 662
Habari wana JF
Mimi ni jobless wa muda mrefu kidogo. Lakini ninapenda sana kuandika tangu utotoni. Wakati nipo shule nilikua nikiandika simulizi za kutunga na wanafunzi wenzangu walikua wakizipenda.
Mwaka 2020 nilishiriki shindano la uandishi “WAKINI KURIA AWARDS” na niliibuka mshindi wa kwanza Afrika katika kipengele cha Literature for Children ambapo nilishinda dollar 100.
Toka hapo nimeshindwa kujua ni namna gani nijiendeleze katika fani hii. Nimewaza kuandika vitabu lakini watanzania sio wasomaji sana. Na mimi kiu yangu ni kwamba katika fani hii, pia niweze kujikwamua kiuchumi.
Nifanye nini niweze kujikwamua katika hili?
Mimi ni jobless wa muda mrefu kidogo. Lakini ninapenda sana kuandika tangu utotoni. Wakati nipo shule nilikua nikiandika simulizi za kutunga na wanafunzi wenzangu walikua wakizipenda.
Mwaka 2020 nilishiriki shindano la uandishi “WAKINI KURIA AWARDS” na niliibuka mshindi wa kwanza Afrika katika kipengele cha Literature for Children ambapo nilishinda dollar 100.
Toka hapo nimeshindwa kujua ni namna gani nijiendeleze katika fani hii. Nimewaza kuandika vitabu lakini watanzania sio wasomaji sana. Na mimi kiu yangu ni kwamba katika fani hii, pia niweze kujikwamua kiuchumi.
Nifanye nini niweze kujikwamua katika hili?