Wakuu, husika na kichwa cha uzi.
Siku hizi ninapenda pesa sanaaaa yaaani nikiikosa nahisi kuchanganyikiwa kabisa. Kama ni watoto nitawafokea kwa vitu vidogo vidogo na ninaweza nisielewane na wengine kabisa kwa sababu ya kukosa pesa..
Ila nikiipata sasa.. weweeee😋😋😋 nakua nna mahabah hatari na kisirani na gubu vyote vinaisha..
*nimeamini kweli pesa sabuni ya roho *