mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Nimefuatilia mjadala ulioandaliwa na serikali leo.
Msemaji mmoja mwenye mlengo wa kiserikali alisema na naomba nimnukuu
"Kasomeni katiba masuala ya viwanda na uwekezaji sio miongoni mwa mambo ya muungano" mwisho wa kumnukuu.
Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)
Hii ni kwakuwa wazanzibari wameweka usimamizi mzuri kwenye mambo yasiyo ya muungano.
Je, inakuweje kwa upande wetu
Mzanzibari akawa kinara kwenye maamuzi ya mambo yasiyo ya muungano?
Je, hili ni jambo lisilo na ulakini mbele ya sheria?
Msemaji mmoja mwenye mlengo wa kiserikali alisema na naomba nimnukuu
"Kasomeni katiba masuala ya viwanda na uwekezaji sio miongoni mwa mambo ya muungano" mwisho wa kumnukuu.
Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)
Hii ni kwakuwa wazanzibari wameweka usimamizi mzuri kwenye mambo yasiyo ya muungano.
Je, inakuweje kwa upande wetu
Mzanzibari akawa kinara kwenye maamuzi ya mambo yasiyo ya muungano?
Je, hili ni jambo lisilo na ulakini mbele ya sheria?