Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,387
jibu haya.Ni error ya uandishi na ndio maana nikaandika vizur hapo chini
jina la shule unayosoma?
mwalimu kuu wa shule?
weka na account no ya shule?
mawasiliano ya shule husika?
jibu haya.Ni error ya uandishi na ndio maana nikaandika vizur hapo chini
Kama uniamini bas
Nikikuunganisha gvt school utaweza soma?Siwezi kuhama kwa kuwa nshaanza huku ndo maana nikasema miaka miwili five na six ntasoma government ntajisomesha mwenyewe
01j2440817100Naomba namba ya account ya shule?
NdioNikikuunganisha gvt school utaweza soma?
Hope and joy nishasemaNipo hapa Boko!
Shule unayo soma inaitwaje?
Jina la shuleni ni lipi?
Niandikie hata chemba maswali haya kesho nije hapo shuleni kwako!
Mm kama mzazi nitakuunga mkono pale ninapo weza!
Nasubiri majibu
Inaonekana huna moyo wa msaadaHope and joy nishasema
Huna nia ya kunisaidiaSasa kumbe una familia kabisa na unasema itajitahidi, kwanini isijitahidi sasa? Waliwezaje miaka 2 iliyopita washindwe sasa? Walithubutuje kukupeleka shule ya gharama hiyo ikiwa uwezo haupo? Unajua maana ya msaada na tafsiri ya mtu anayehitaji kusaidiwa bado ni tatizo kubwa kwa wengi. Kwanza unasaidiwaje ikiwa unaficha taarifa zako. Wewe ni nani? Unasoma shule gani? Uthibitisho wa kuwa umeshindwa kulipa ada ni upi? Hebu muache uhuni, mfanye kazi![]()
![]()
![]()
Details zote ulizoziandika nishazisemaSasa kumbe una familia kabisa na unasema itajitahidi, kwanini isijitahidi sasa? Waliwezaje miaka 2 iliyopita washindwe sasa? Walithubutuje kukupeleka shule ya gharama hiyo ikiwa uwezo haupo? Unajua maana ya msaada na tafsiri ya mtu anayehitaji kusaidiwa bado ni tatizo kubwa kwa wengi. Kwanza unasaidiwaje ikiwa unaficha taarifa zako. Wewe ni nani? Unasoma shule gani? Uthibitisho wa kuwa umeshindwa kulipa ada ni upi? Hebu muache uhuni, mfanye kazi![]()
![]()
![]()
Angalia kote vizurSasa kumbe una familia kabisa na unasema itajitahidi, kwanini isijitahidi sasa? Waliwezaje miaka 2 iliyopita washindwe sasa? Walithubutuje kukupeleka shule ya gharama hiyo ikiwa uwezo haupo? Unajua maana ya msaada na tafsiri ya mtu anayehitaji kusaidiwa bado ni tatizo kubwa kwa wengi. Kwanza unasaidiwaje ikiwa unaficha taarifa zako. Wewe ni nani? Unasoma shule gani? Uthibitisho wa kuwa umeshindwa kulipa ada ni upi? Hebu muache uhuni, mfanye kazi![]()
![]()
![]()
Nitajitahid kwa kuwa nikimalixa form four nitakuwa na muda wa kutosha si kama sasaSasa kumbe una familia kabisa na unasema itajitahidi, kwanini isijitahidi sasa? Waliwezaje miaka 2 iliyopita washindwe sasa? Walithubutuje kukupeleka shule ya gharama hiyo ikiwa uwezo haupo? Unajua maana ya msaada na tafsiri ya mtu anayehitaji kusaidiwa bado ni tatizo kubwa kwa wengi. Kwanza unasaidiwaje ikiwa unaficha taarifa zako. Wewe ni nani? Unasoma shule gani? Uthibitisho wa kuwa umeshindwa kulipa ada ni upi? Hebu muache uhuni, mfanye kazi![]()
![]()
![]()
Ningeweza ningehama2.4 kwa mwaka hiyo shule wanasoma watt wa watu wenye uwezo bora utafute shule nyingine
naweza kukulipiaNi million mbili na laki nne
Tena nakuona online lakini hujibu maswali.
NB
Kumbuka yuko kidato cha 3 na anauwezo wa kuwa JF with smart phone then anatafuta ada.
Anyway....
Jaribu kunielewa Anne nimesema ni ya Dada yangu![]()
![]()
![]()
![]()
Kidato cha 3
Anamiliki smartphone
Yupo jf
Ntashukurunaweza kukulipia
nipe namba nikurushie tigo pesaNtashukuru