Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Una Id ngapi? Angalia usichanganye madesadada nipo nae hapa
Una Id ngapi? Angalia usichanganye madesadada nipo nae hapa
kweli wewe ni mzazi, ahsante kwa kumtahadharisha mapema, la sivyo kama ni mtoto kweli hachomoki leoTatizo lako ujuaji mwingi
Weka majina yako kamili
Shule unayosoma
Jina la mlezi wako na mawasiliano
Jina la mwalimu mkuu na mawasiliano
Panga vizuri weka maelezo kule juu
Kwa hili sakata linaloendelea humu hutapata msaada wowote zaidi ya kuchatishwa na wavulana wa humu.
Na wanavyopenda vya bure watakuja Pm wapate kukula kwa kisingizio cha ada kuwa makini sana.
mkuu nina ID moja tuu.. nini kinakupa wasiwasi labda...??Una Id ngapi? Angalia usichanganye madesa
Muda wote unajibu comment dada anakusubiri tu achukue simu yake?? Mungu anakuona ..
kazi kweli kweliSio bure pana namna hapa...Nilitaka kuuliza hivyo hivyo
Weka na picha basi. Halafu nirushie whatsapp 0754481426 nione namna nzuri ya kukusaidiaJinsi yangu ni wa kike umri miaka 16