Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Sasa tumsaidie nani hapa..!Kuna ubaya gani kwako hapo?
Sasa tumsaidie nani hapa..!Kuna ubaya gani kwako hapo?
Sasa tumsaidie nani hapa..!
Mawili, huenda ni tapeli ama punga huyu dogo. Ama yote mawilikidato cha tatu mwakani, hivo sahivi upo form two? Smartphone nani kakununulia mtoto mzuri???
Natumaini mnaendelea vizuri na ni wazima wa afya kwa mwaka huu mpya mm ni mwanafunzi ninayeingia kidato cha tatu mwakani na ninaamini nitafaulu kwa ufaulu mzuri lakini sins ada wazaz hawana uwezo hivyo naomba ufadhili wa miaka miwili tafadhali kutoa ni moyo si utajiri Mungu awaongoze naamin mtaniwezesha
Kwa mwaka shingapi ada?Ni hope and joy na ni private , nilipomaliza darasa LA saba government nilipata ufadhili KANISAN lakini mfadhili kwa sasa hayupo ameenda nchini kwake ni muitaliano kwa ajili ya tiba kwan anasumbuliwa na tumbo hivyo mawasiliano yatakuwa hayapo kwa miaka kadhaa na siwezi kulipa ada kama nilivyosema awal na ndio maana nikasema miaka miwili mingine ninaamin nitajimudu
Upo wapi?Kuhusu simu ni ya dadayangu
Dadaako anafanya shughuli gani?Jinsi yangu ni wa kike umri miaka 16