Precious adam
Member
- Jan 6, 2018
- 40
- 11
- Thread starter
- #41
Ni million mbili na laki nne
Poa Mkuu, nimekuelewa..!Huyo ni mtu mmoja mkuu nilikuwa najaribu kuunganisha, soma vizuri muda mwingine usije ukakurupuka tena.
Usiweke empathyMnaweza msiniamini na wala siwezi kulazimisha kuniamini kwa kuwa dunia ya sasa INA matapeli wengi lakini sina jinsi ni hayo tu
unaongea na simu au unaongea na wanaJF!!!Unakaa tegeta msikitini
Ni PM nikupe kibarua cha kulima kama upo Dar,mambo yakuomba usaidiwe pesa bure hayapo siku hizi ,wakati wa likizo unatakiwa kutafuta kibarua chochote hata cha kulima badala ya kutwa kukaa kushabikia Diamond au Chadema /CCMNatumaini mnaendelea vizuri na ni wazima wa afya kwa mwaka huu mpya mm ni mwanafunzi ninayeingia kidato cha tatu mwakani na ninaamini nitafaulu kwa ufaulu mzuri lakini sins ada wazaz hawana uwezo hivyo naomba ufadhili wa miaka miwili tafadhali kutoa ni moyo si utajiri Mungu awaongoze naamin mtaniwezesha
Mwakani mmoja ndioAda yako ni milioni mbili na laki 4 kwa miaka yote miwili au mmoja?
Unasoma hope And Joy??, eleza vizuri
Naomba namba ya account ya shule?Nakaa tegeta msikitini
Ningeweza ningefanya siwezi ndio maana nikafika hatua hii jaribu kunielewaNi PM nikupe kibarua cha kulima kama upo Dar,mambo yakuomba usaidiwe pesa bure hayapo siku hizi ,wakati wa likizo unatakiwa kutafuta kibarua chochote hata cha kulima badala ya kutwa kukaa kushabikia Diamond au Chadema /CCM
Ni error ya uandishi na ndio maana nikaandika vizur hapo chiniunaongea na simu au unaongea na wanaJF!!!
Nilitaka kuuliza hivyo hivyoAda ya nini tena wakati elimu ni bure?
Siwezi kuhama kwa kuwa nshaanza huku ndo maana nikasema miaka miwili five na six ntasoma government ntajisomesha mwenyeweKama una moyo wa kusoma nenda shule za gvnt bure kabisa kuhangaika na miada ya million itakusumbua bora ungehangaika kutafuta hela ya tution ukiwa gvnt mungu akutangulie
Kama uniamini basnasikia harufu ya utapeli na ujanja ujanja hapa
Sasa kumbe una familia kabisa na unasema itajitahidi, kwanini isijitahidi sasa? Waliwezaje miaka 2 iliyopita washindwe sasa? Walithubutuje kukupeleka shule ya gharama hiyo ikiwa uwezo haupo? Unajua maana ya msaada na tafsiri ya mtu anayehitaji kusaidiwa bado ni tatizo kubwa kwa wengi. Kwanza unasaidiwaje ikiwa unaficha taarifa zako. Wewe ni nani? Unasoma shule gani? Uthibitisho wa kuwa umeshindwa kulipa ada ni upi? Hebu muache uhuni, mfanye kaziUfadhili Natumaini mnaendelea vizu...www.jamiiforums.com/index.php?posts/25196903/
Mtoto ana mwandiko mzuri sana anajitahidi, haya uje ujieleze vizuri kabisa hapa
![]()
