Ninakwenda mafunzo ya JKT...

Ninakwenda mafunzo ya JKT...

Status
Not open for further replies.
Wana JF, salam!

Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.

Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.

Natumai utarudi ukiwa 'mzalendo' wa kweli kwa nchi yako, maana unafiki wako wa kuvaa skafu ya bendera ya Taifa wakati unalihujumu unanichefua kweli! Kila la heri...
 
Go! Go! Labda utapata akili tumekuchoka ww na ushuz wako
najua utaandaliwa vema kuwa mgambo wa jiji 2015 ubunge huuwezi
 
hayo ni mafunzo gani ya kijeshi ya wiki tatu!!! huna haja ya kutuaga we nenda tu hiyo ni mipango yako na ujifunze jinsi kutumia na kuifazi Bastola vizuri.

Wewe acha kuwa na mtazamo hasi. Mpongeze kijana wa watu kwa ujasiri aliochukua na kutuaga humu ndani. Kijana Mwigulu tunakutakia kila la kheri. Maafande mfanye kazi yenu sawasawa. Msiwaogope hawa wanasisasa.
1.Kazi ya kufagia ianze saa tisa za usiku.
2.kunywa uji isizidi dakika moja.
3.Kula ugali na maharagwe dakika moja na nusu.
4. Kwata masaa sita kila siku
5. Kila kuruta alime ekari moja kwa siku mbili

Asante.


 
Wana JF, salam!

Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.

Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.

Unakwenda kufanya nini? Usicho kijua.?
 
Kwanza nikukumbushe kuwa wewe siyo kijana, PILI nenda JKT labda utaweza kufumbuliwa macho upate uzalendo ndo ufahamu kuwa CCM ni chama kisichotufaa hata kidogo ktk nchi hii na chapaswa kufutwa ktk ramani ya siasa. TATU labda utajifunza kuongea kwa hoja badala kutukana matusi yalokujaa mdomoni.

Lakini kubwa kuliko yote ni kuwa JASIRI HAACHI ASILI. Utabaki yule yule kwani mbwa mzee hawezi kufundishwa mbinu mpya! He is btn 35-37 mzee Huyu?
 
Nenda ukafundishwe uzalendo na ukafumbuliwe macho maana ccm imekufumba macho na akili hujitambui kabisaa mwingulu ww ni sawa na Nzi wa choon anashangilia sana akiona kinyesi asijue kmetokana na nn na wap na kwa nan?
 
We nenda zako tuh,pia mwambie na mshirika wako NAPE pia,mkirudi huko mtakuta serikali yenu ishajiuzulu tayari..

Mafisadi nani anawapa HEKO nyinyi??
 
Serikali inaongozwa na CCM

Na CCM kauli mbiu yao kwa sasa ni Ufisadi,

Sasa inawapeleka watu JKT kuwafunza nin zaid ya UFISADI??
 
Kwanza nikukumbushe kuwa wewe siyo kijana, PILI nenda JKT labda utaweza kufumbuliwa macho upate uzalendo ndo ufahamu kuwa CCM ni chama kisichotufaa hata kidogo ktk nchi hii na chapaswa kufutwa ktk ramani ya siasa. TATU labda utajifunza kuongea kwa hoja badala kutukana matusi yalokujaa mdomoni.

Lakini kubwa kuliko yote ni kuwa JASIRI HAACHI ASILI. Utabaki yule yule kwani mbwa mzee hawezi kufundishwa mbinu mpya! He is btn 35-37 mzee Huyu?

Wacha matusi. Jenga hoja. Moderator fungia huyu mtu, hana adabu hata kidogo.
 
Wiki 3! Katika wiki tatu mnaenda kufanya nini, kuonesha sura au kupata mafunzo. JKT ililenga kuwafunza vijana ukakamavu, mafunzo ya vita ikiwa ni pamoja na mbinu za medani, uzalendo na ujenzi wa Taifa hasa kwa kupitia miradi ya kilimo. Wiki 3 hazitoshi hata kupunguza vitambi kama vya akina Nape. Hii naona ni siasa tu, hakuna mafunzo hapo.

Barua imeonesha muda wa kuanza tu ila najua sio mwaka mmoja ni kipindi kisichopungua wiki tatu wala si zaidi ya miezi mitatu
 
Wana JF, salam!

Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.

Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.

Ondoa maneno VIJANA WENZANGU, CHAMA CHANGU..................bakiza NCHI YANGU, nchi ni kubwa zaidi ya vijana na chama chako..............try to be a visionary leader kaka!!

Kila la kheri!!
 
Mkuu Mwigulu Mchemba,

Kwanza hongera kwa ujasiri na kujitoa kwenda JKT ambayo naamini itakusaidia sana ku inject true sense in your little brain!. Mtu akiisoma CV yako, iko very impressive, inaonyesha you are a bright na brilliant young man, ila akikusikiliza when you talk shit!, you real looks like shit, and that puts me off!.

Hivyo sasa tumia fursa hii ya JKT, to learn humility ambayo ita inject a little sense in your little brain that has been missing all along na kuwa not little brain anymore but a big brain!, na ukitoka utajikuta sio tuu umebadilika, bali utaisaidia vizuri zaidi CCM sio tuu kushinda kwa kishindo uchaguzi wa 2015, bali pia CCM kushinda kwa haki!.

All the best!.

Pasco (wa jf).
Mkuu Pasco, si wote wanaobadilika positively.
Huyu Lameck Madelu, kwa akili zake ndio anaweza kutoka huko akiwa wa ovyo kabisa.
 
We nenda tu, ukirudi huko uje na kauli mbiu kuwa wewe ni mzalendo namba 1.
 
Wake za watu sasa huko uendako

umeandaa faini za kutosha kama igunga?
 
JKT itatusaidia sana 2015.wakati wa kulinda kura zetu,na ikiwezekana kujihami dhidi ya CCM
Kila la heri,usisahau kumsalimia afande Mwita.
 
Umepangiwa kambi gani???
Napenda wabunge wote vijana mpelekwe JKT Mafinga....hakika kule mtajifunza kuwa wazalendo wa kweli wa Taifa hili ambalo kwa sasa limekosa wazalendo.

Wana JF, salam!

Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.

Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom