Ninakwenda mafunzo ya JKT...

Status
Not open for further replies.

Natumai utarudi ukiwa 'mzalendo' wa kweli kwa nchi yako, maana unafiki wako wa kuvaa skafu ya bendera ya Taifa wakati unalihujumu unanichefua kweli! Kila la heri...
 
Go! Go! Labda utapata akili tumekuchoka ww na ushuz wako
najua utaandaliwa vema kuwa mgambo wa jiji 2015 ubunge huuwezi
 
hayo ni mafunzo gani ya kijeshi ya wiki tatu!!! huna haja ya kutuaga we nenda tu hiyo ni mipango yako na ujifunze jinsi kutumia na kuifazi Bastola vizuri.

Wewe acha kuwa na mtazamo hasi. Mpongeze kijana wa watu kwa ujasiri aliochukua na kutuaga humu ndani. Kijana Mwigulu tunakutakia kila la kheri. Maafande mfanye kazi yenu sawasawa. Msiwaogope hawa wanasisasa.
1.Kazi ya kufagia ianze saa tisa za usiku.
2.kunywa uji isizidi dakika moja.
3.Kula ugali na maharagwe dakika moja na nusu.
4. Kwata masaa sita kila siku
5. Kila kuruta alime ekari moja kwa siku mbili

Asante.


 

Unakwenda kufanya nini? Usicho kijua.?
 
 
Nenda ukafundishwe uzalendo na ukafumbuliwe macho maana ccm imekufumba macho na akili hujitambui kabisaa mwingulu ww ni sawa na Nzi wa choon anashangilia sana akiona kinyesi asijue kmetokana na nn na wap na kwa nan?
 
We nenda zako tuh,pia mwambie na mshirika wako NAPE pia,mkirudi huko mtakuta serikali yenu ishajiuzulu tayari..

Mafisadi nani anawapa HEKO nyinyi??
 
Serikali inaongozwa na CCM

Na CCM kauli mbiu yao kwa sasa ni Ufisadi,

Sasa inawapeleka watu JKT kuwafunza nin zaid ya UFISADI??
 
 
Wiki 3! Katika wiki tatu mnaenda kufanya nini, kuonesha sura au kupata mafunzo. JKT ililenga kuwafunza vijana ukakamavu, mafunzo ya vita ikiwa ni pamoja na mbinu za medani, uzalendo na ujenzi wa Taifa hasa kwa kupitia miradi ya kilimo. Wiki 3 hazitoshi hata kupunguza vitambi kama vya akina Nape. Hii naona ni siasa tu, hakuna mafunzo hapo.

Barua imeonesha muda wa kuanza tu ila najua sio mwaka mmoja ni kipindi kisichopungua wiki tatu wala si zaidi ya miezi mitatu
 

Ondoa maneno VIJANA WENZANGU, CHAMA CHANGU..................bakiza NCHI YANGU, nchi ni kubwa zaidi ya vijana na chama chako..............try to be a visionary leader kaka!!

Kila la kheri!!
 
Mkuu Pasco, si wote wanaobadilika positively.
Huyu Lameck Madelu, kwa akili zake ndio anaweza kutoka huko akiwa wa ovyo kabisa.
 
We nenda tu, ukirudi huko uje na kauli mbiu kuwa wewe ni mzalendo namba 1.
 
Wake za watu sasa huko uendako

umeandaa faini za kutosha kama igunga?
 
JKT itatusaidia sana 2015.wakati wa kulinda kura zetu,na ikiwezekana kujihami dhidi ya CCM
Kila la heri,usisahau kumsalimia afande Mwita.
 
Umepangiwa kambi gani???
Napenda wabunge wote vijana mpelekwe JKT Mafinga....hakika kule mtajifunza kuwa wazalendo wa kweli wa Taifa hili ambalo kwa sasa limekosa wazalendo.

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…