Aisee kumbe mifumo ya kipolice ipo vizuri kabisa ila ni uhuni tu wa hawa jamaa...Huna unalojua wewe! Ukamataji Gani ule usiokidhi vigezo vya kisheria? Mtu anakuqmuru TU simamaa au lala chini huku hajajitambulisha kwako hilo ni kosa Kwa mujibu wa pgo! Na jaji haamui kesi Kwa mtazamo wake bali Kwa vifungu vya Sheria vilivyothibitishwa na mashahidi pasi na shaka kuwa vimevunjwa.
Mkamataji, mwandika maelezo, mshitaki na shahidi ni mtu mmoja yaani kingai! Mpaka hapo jaji anaitupa kesi kule jalalani!
Unaweza kuelewa mwenyewe hiki ulichokiandika wewe ngumbaru?H
IZo nyama zilizoko chini sasa ni balaambowe lazima ale mvua
Mtamua kingai, ,na kweli police ambao ni mashahidi kwenye KESI hii wajipange ,ila nilifikili ni vyema SERIKALI ondoa KESI hii Mapema vinginevyo WAFAAAAShahidi namba moja kwenye kesi ya ugaidi inayomuhusu Freeman Mbowe na wenzake, RPC Kingai umetuabisha kwa kuchanganya Maelezo yako huku ukiongozwa na wakili wako wa serikali
Je, RPC Kingai hukufahamu kuchanganya Maelezo yako utawafanya mashahidi wanaofuata washindwe wasimamie kitu gani habari za madawa ya kulevya au ugaidi?
Je, RPC Kingai hukufahamu wewe ulitangulizwa mbele ili uonyeshe uwezo wako wa kujenga hoja kama unavyojitanabaisha?
Je, RPC Kingai hukufahamu ushahidi unatolewa kwa kufuata hati ya mashtaka? Kwa uzoefu wako hukujua mahakamani ni moja ya sehemu ngumu sana, Hati ya mashtaka inaelezea ugaidi wewe unaongelea dawa za kulevya?
Je, RPC Kingai hukufahamu kukariri mambo kuna wenyewe, Ni watu wachache wenye uwezo wa kukariri mambo kwa dakika 15 bila kukosea ukiwaambia warudie walichokisema
Je? RPC Kingai hukufahamu kila jambo mahakamani unalotamka linahitaji kifungu cha sheria au maamuzi ya kesi zilizoamuliwa zamani na sio maneno matupu ya kukariri?
Je, RPC Kingai hukujua Sheria ni taaluma sio nguvu na mikwara inayotumika kuhoji watuhumiwa polisi?
Watu wengi wamehoji uwezo wa Polisi hasa wenye vyeo vya juu kusimama mahakamani na kujibu hoja za mawakili wasomi, Mara nyingi Polisi kwa uzoefu wamejiabisha mahakamani aidha kwa kukaa kimya au kujibu Sijui kila kitu
Tunasubiri Maelezo ya RPC Kingai yatakapotumika kumuuliza maswali Yeye mwenyewe, Hakika Itakuwa aibu kubwa sana
We are still waiting
Yashike maneno yako- sitashangaa utasema hajui kiingerezaKwa ushahidi upi? Huu wa kingai? Utakuwa unaota! Unamfahamu vizuri huyo jaji anayeisikiliza hiyo kesi? Kwa taarifa Yako huyo jaji ni mtu humble mno na hanaga biasness! Jiulize ni kwanini aliruhusu kesi ndogo kusikiliza badala ya kesi ya msingi? Anakwenda kuitupa kesi ya msingi nje na atapata sifa kutoka Kwa wapenda haki wote including majaji na mawakili wa serikali unaowaona humor ndani! Huyu jaji anakwenda kuandika historia Kwa kujifanya mahakama ya haki kuzaliwa upya!
Kwenye Mbwa Hataweza Atakuta Mbwa Wengine Wana Vyeo Vikubwa Kuliko RPC Mbu~Mbu~MbuKwanza yeye mwenyewe ana kasura ka kigaidi kabisa kichwani hewa kabisa RPC mzima haelewi maelezo ya kwenye charge sheet ndio ushahidi wake uwe adduced mahakamani huyu atolewe hapo kinondoni akasimamie kikosi Cha mbwa.
mmhKwenye Mbwa Hataweza Atakuta Mbwa Wengine Wana Vyeo Vikubwa Kuliko RPC Mbu~Mbu~Mbu
Manka unataabishwa Sana na hiyo lugha! Ona Sasa, kukimbia kwako umande kunavyokucost!HHuo muda ulioupoteza kuishabikia kijani ungeenda tuition ya kiingereza usaidike na Cha kuombea maji!Yashike maneno yako- sitashangaa utasema hajui kiingereza
Hivi Afande Mroto yeye hajawahi kuhojiwa mahakamani?Matumizi makubwa ya nguvu kwa jeshi la polisi yanatokana na uwwezo wao mdogo. Sasa kama RPC ndio anaongea ule utoto, hao anaowaongoza ni wajinga kiasi gani?
Ndio maana watawala inakuwa rahisi kuwaagiza polisi kutenda nje ya sheria, kwani wengi ni wajinga na hawana uwezo wa kuhoji, bali kutii kila kitu ili wapate upendeleo wa kupanda vyeo wajitajirishe kwa rushwa.
Shida Iko hapa jaji haangalii shahidi anavyoulizwa maswali ya kumtoa kwenye reli yaani atakachoangalia ni ushahidi wake tu sasa mnambabaisha shahidi eti uliwakamata wanakula supu au wanatembea hiyo inatoa kosa la huyo mtuhimiwa? Yaani mwisho wa kwsi mtashangaaMtamua kingai, ,na kweli police ambao ni mashahidi kwenye KESI hii wajipange ,ila nilifikili ni vyema SERIKALI ondoa KESI hii Mapema vinginevyo WAFAAAA
Taja mmoja. Kuna afisa wa magereza kule ujinga PhD holder wamemfrastrate ameishia kunywa double kiki. Hata lindo hapewiWapo!