KiBiashara ukiwa mtu wa matumizi Sana, kupoteza Kwenye game ni dkk sifuri.
KiBiashara,
Unaweza ukawa unaingiza faida ya million kila sikU, kwa mwezi mzima mfulurizo ukagota 30 million profit.
Afu ghafla umepata bingo la mzigo wakusafisha stoo au haujalipiwa ushuru au mwenyewe anahama au kabadilisha biashara anauuza ROBO YA BEI, Anauza million 30 chap.
Na wee unaona kabisa huu mzgo, nikachukua unaleta million 120 chap.
Sasa
Kama bahat mbaya huna akiba ya mil 30 kuulipia Chap (wee faida ukipata unakulaga),
Unakua tayar umeshapishana na BINGO la fasta.
AU BAHAT MBAYA IMETOKEA,
Majanga yametokea (Moto,wezi,kesi n.k) inahitajika mil 30 ikutoke mfukoni chap uweze kuchomoka Kwenye msala, vingenvyo unatangazwa umefilisika.
Sasa Kama mwenzangu na mie,
Mzee wa kulaga faida, Inakua ndio baibai tunasahau kwenye GAME.
MFANYABISHARA UNAPASWA KUSPEND LOW as much as you can.
Biashara hazitabiriki,
Unaeza amka maskini, ukalala tajiri
Au ukaamka tajiri, ukalala maskini.
YOTE YANAWEZEKANA
Aisee hiyo ni hatar Sana, Nampa pole SanaKuna mzee pale kkoo sokoni
Yeye mauzo alikuwa anachanganya anachukua mzigo juu ya mzigo
Hili janga la juzi la moto sijui limemuacha katika hali gani!!
Kama Manara anakula 700k hawa wa viwandani si wanakula 10kMfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku
Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.
Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.
Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.
Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAM
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku
Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.
Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.
Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.
Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.
Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.
Vipato vina Siri nyingi Sana,Kama Manara anakula 700k hawa wa viwandani si wanakula 10k
Dah! Safi sana broo nimependa unavyompa moyo wa kupambana mdau! "Superb" ni wachache sana wa aina yako wengi wetu tumekuwa watu wa kukatishana tamaa. Nimejifunza jambo kubwa sana katika huu ujasiriamali.Kama ukitoa kila kitu kuanzia mshahara/matumizi yote unabakiwa na faida ya 80,000 to 100,000
sikushauri uache hiyo biashara hata kidogo,wewe kilio chako ni faida ndogo ila si kwamba hupati kbsa
wenza
Hii shule nimeichukuaKwa mauzo ya elfu 15,
Hupaswi kuweka mfanyakazi, hapo Unapaswa kukomaa mwenyewe.
Na principle yangu always,
ILI BIASHARA ISIFE,
Sitakiwi kutumia zaidi ya 10% ya mauzo yangu yote kwa sikU.
Mf: nimeuza elfu 15,000, nalazimika kutumia Sio zaidi ya 1,500 kwa sikU.
Na
ILI BIASHARA IKUE HARAKA SANA,
Sitakiwi kutumia zaidi ya 10% ya faida yote niliyoingiza kwa siku.
Mf: nmeingiza faida ya 15,000 baada ya matumizi Yote ya sikU, sipaswi kutumia Zaid ya 1,500 kwa sikU.
Broh usigombanishe watu una uhakika gani anaibiwaKwa biashara inayoweza kulipa hivyo vitu kwa muda wote huo naamini kuna ziada zaidi inapatikana hapo ni vile wewe hujajua bado,haiwezekani mwaka wa kwanza mpaka wa tatu faida zifanane hiyo hali ipo planned na anayefanya hivyo ni huyo uliyemwamini.
Umesema anakaa mtu...right?em kabla hujawaza kuifunga vizia likizo moja shinda hapo asubuhi mpaka jioni utajua kama pana hasara au lah.
Umeongea kitaalam xnaa mkuu kuna wengine wanakimbilia kusema mfanya kazi ndio anaiba..binafsi kazi izo masuala ya location pia ni yanahusika..kama hauko karib na vyuo au taasis zinazitumia xna makaratasi bhc vumiliaHapana mkuu,
Ndo maana nikatoa kwa mfumo wa asilimia, ili ujikadirie mwenyewe.
Kwa mtaji wa million 3,
Mtoa mada hakupaswa kuweka mfanayakazi wa kumlipa mshahara huo anaomlipa.
Angemuweka either mkewe au ndugu wanaeaminiana, au angekomaa mwenyewe.
Biashara yoyote changa na inayoanza na mtaji mdog, hua Sio vizuri Sana kuanzia Kwenye mikono ya watu Baki.
Mtoa mada alitakiwa akomae mwenyewe kwanza mpaka mtaji ukue ndo aweke mfanyakazi.
Kwa kinachoendelea,
Kamwe hawezi kupata faida, vinginevyo apambane aongeze bidhaa, mtaji na huduma ili apate mauzo kuanzia 1million kwa sikU.
Am speaking from experience,
Hiki kinachomkuta mtoa mada, kinanikumbusha kisa Cha rafki angu mmoja alifungua duka la dawa kwa mtaji wa million 5 kwa sababu inafaida kubwa na mzunguko anaona upo.
akamwajiri nesi na kumlipa laki@mwezi na posho ya 5,000 kila sikU.
Nilimuelekeza, akakaza Shingo.
Baada ya miaka 2 biashara ilishindwa kujiendesha na ikafa.
Nowdays,
Kafuata principle yangu, na Anabiashara ingine 3 na maisha yanaendelea vizur sana.
🤣🤣🤣🤣
Duh mkuu we ndo mjasiriamali... Ila kama sheli ndo mishahara yao hiyo .. si watakuwa wanagongwa sana?Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku
Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.
Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.
Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.
Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.
Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.
Uko sahihi.Hiyo 80/100K unaipata baada ya kufanya haya yote?hiyo biashara ina muda gani?
Nijuavyo biashara kama bado ni changa hatutegemei profit iwe kubwa mapema so kama ni ya muda mfupi una nafasi ya kufanya vizuri bado,pia inawezekana hujajitosheleza bado kivifaa that's why unaona faida ni ndogo so cha kufanya weka nguvu zaidi pia ongeza M-pesa Tigopesa etc unaweza kwenda vizuri zaidi.
Wengi wanalipwa ivyo, nisijue kwa wengine wanalipaje uko kwingineDuh mkuu we ndo mjasiriamali... Ila kama sheli ndo mishahara yao hiyo .. si watakuwa wanagongwa sana?
Confidence ya kutia mtaj huja ukiwa tayar umesha cheza sana na biashara na idea ushazipractice ukaona zinatoa..hapo lazima uwe na confidence..na hyo inajengwa na kuanza biashara tuu no bla bla..unaanza unajikwaa unainuka..unajifunza.zunguka mitaan masokon angalia watu wanafanya nin.soma mazingira fata sheria za biashara zote zinataka nin...kama research fanya..anza mtaj mdogo..huku unakua..
Ndivyo kila mtu anaanza hvyo na watu wanatoboa...mim sasa hiv nna magol meng tu ya kutosha...nna confidence ya kuanzisha kitu..tatzo langu ni management tu ndo nahangaika nayo...so kama nilivyokwambia msome huyo jamaa..hata sis tulikua kama wew mwanzo
Sijaelewa hapo unamaanisha ukitoa pamoja na gharama za kununulia hizo stationaries zote unazoziuza au? lakini pia uwe unaweka akiba itakayo kusaidia ku fanya replacement ya hivyo vifaa, fotocopier pamoja na printer.maana zikichoka huwa matengenezo ni ghali sana
Hapana mkuu,
Ndo maana nikatoa kwa mfumo wa asilimia, ili ujikadirie mwenyewe.
Kwa mtaji wa million 3,
Mtoa mada hakupaswa kuweka mfanayakazi wa kumlipa mshahara huo anaomlipa.
Angemuweka either mkewe au ndugu wanaeaminiana, au angekomaa mwenyewe.
Biashara yoyote changa na inayoanza na mtaji mdog, hua Sio vizuri Sana kuanzia Kwenye mikono ya watu Baki.
Mtoa mada alitakiwa akomae mwenyewe kwanza mpaka mtaji ukue ndo aweke mfanyakazi.
Kwa kinachoendelea,
Kamwe hawezi kupata faida, vinginevyo apambane aongeze bidhaa, mtaji na huduma ili apate mauzo kuanzia 1million kwa sikU.
Am speaking from experience,
Hiki kinachomkuta mtoa mada, kinanikumbusha kisa Cha rafki angu mmoja alifungua duka la dawa kwa mtaji wa million 5 kwa sababu inafaida kubwa na mzunguko anaona upo.
akamwajiri nesi na kumlipa laki@mwezi na posho ya 5,000 kila sikU.
Nilimuelekeza, akakaza Shingo.
Baada ya miaka 2 biashara ilishindwa kujiendesha na ikafa.
Nowdays,
Kafuata principle yangu, na Anabiashara ingine 3 na maisha yanaendelea vizur sana.
Mil.3 kama bado unaitaka nikupe uniachie kama ilivyo halafu tutafutane ndani ya mwaka 1
utaona wapi ulikua unakosea,usiitamani ile mil.3 kama bado una nia umedhamiria Njoo PM
bado nakwambia usikate tamaa hiyo biashara iko vizuri mkuu bila kujali umewekeza kiasi gani
hata kama uliwekeza 10m na unapata faida hiyo 80k bado nasema hiyo biashara si yakuiacha asee
Narudia : kama kweli bado ile nia yako ya kuiachia hiyo biashara unayo,karbu pm tuyajenge.
Mfanyakazi wa sheli mwenye mauzo ya million 6 kwa sikU (double ya mtaji wako),
Analipwa elfu 80 kwa mwezi, na posho ya elfu 5 kwa siku
Wewe mwenye mtaji wa million 3,
Unajitutumua unamlipa mshahara wa 100,000.
Mkuu nikwambie TU ukweli,
Ukishaingia Kwenye ujasiliamali lazima ujue kua bahili na usiwe na roho ya huruma kijinga jinga.
Unapaswa kulipa kutokana na unachoingiza, na Sio kuangalia sura Wala Roho mtakatifu.
Kwenye biashara hizi za kibepari,
Ukijifanya msamalia mwema, Unapotea Kwenye GAME faster.
Kaulizie mishahara anayolipa MO-Dewji kwenye biashara zake, afu utanipa majibu.