Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,209
- 18,267
Sa nizifanyeje ni nyingi....nguo viatu
Pole yake sana ðŸ˜
Jitahidi kukubaliana na kilichotokea ili ukawe makini zaidi hata barabarani.Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.
Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....
Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.
22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.
27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019
Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.
NIMESHINDWA KUPONA ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.
Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza ðŸ˜ðŸ˜ Mungu nitamlilia sana
Pole sana, huruma ya Mungu iwe kwako....akupe wengineEvelyn Salt nilipoteza mapacha wawili jinsia tofauti aiseeee we acha tu pole
Kanipa kamoja kazuri nakutumia picha yake nowPole wana, huruma ya Mungu iwe kwako....akupe wengine
Pole jamani dadaPole, kiukweli msiba hauna mwenyewe, ni mwaka jana mwishoni nilipoteza mtoto wangu wa kike wa pekee, hata leo nimemlilia haizoeleki hiyo hali maswali ya kwanini zinakuwa nyingi nk
PoleniAcha nitoke kwenye huu uzi, maana hata nguo zake zipo bado, nilienda mwezi wa 7 kutengeneza kaburi lake, nikakuta pembezoni kuna makaburi mapya ya malaika wengine, niliumia sana sana, bora ningekufa mie ila mtoto akabaki nae ale maisha 🙌
Ufe halafu utamu wako atanipa nani Sasa !? Acha hizo my 🥰🥰💕Acha nitoke kwenye huu uzi, maana hata nguo zake zipo bado, nilienda mwezi wa 7 kutengeneza kaburi lake, nikakuta pembezoni kuna makaburi mapya ya malaika wengine, niliumia sana sana, bora ningekufa mie ila mtoto akabaki nae ale maisha 🙌
Dah! Pole sana aiseee, hivi vitu havizoeleki.Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.
Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....
Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.
22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.
27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019
Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.
NIMESHINDWA KUPONA ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.
Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza ðŸ˜ðŸ˜ Mungu nitamlilia sana
😂😂😂Nami niliogopa tu kucheka msibani,ila niliko huku...Nimecheka balaa 🙌Dunia simama tushuke huku unakotupeleka siko😃😃😃
Poleni sana Mungu awape faraja yake marehemu apumzike kwa Amani, pole sana, maumivu yakufiwa yaache tu.Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.
Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....
Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.
22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.
27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019
Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.
NIMESHINDWA KUPONA ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.
Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza ðŸ˜ðŸ˜ Mungu nitamlilia sana
Mara ya kwanza niliona ngoja nikaushe hata kuchek pale pale niliogopa ila baada ya kukuta Braza kaka amecheka nikasema haya ndo ya mwinyi kwenye msiba wa magu anauliza hapa ni wap vile😃😃😃ikabid nilud kucheka na kumjibu😃😂😂😂Nami niliogopa tu kucheka msibani,ila niliko huku...Nimecheka balaa 🙌