Ninaishi na maumivu

Ninaishi na maumivu

Acha nitoke kwenye huu uzi, maana hata nguo zake zipo bado, nilienda mwezi wa 7 kutengeneza kaburi lake, nikakuta pembezoni kuna makaburi mapya ya malaika wengine, niliumia sana sana, bora ningekufa mie ila mtoto akabaki nae ale maisha 🙌
Pole sana
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Oh Eve.
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.

Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza 😭😭 Mungu nitamlilia sana
sorry
 
Mungu wa mbinguni aufikie moyo wako na kuufariji,

Faraja ya vitu na watu n dhaifu mno.

Yeye n mfariji mkuu na mwenye nguvu kuliko chochote.

Upone,pole sana mtu wa Mungu.

I remember mama mmoja aliyepoteza watoto wake wote 6 kwenye ajali moja.

Ninafkiria moyo wake ulipondeka kias gan.
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.

Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza 😭😭 Mungu nitamlilia sana
Oh Mungu ohh Yesu mpokee mtoto wetu huyu Mungu mpe pumziko la milele mtoto wetu,ni majonzi ni masikitiko poleni sana Evelyn
 
Sikujua kama kuna siku itakuja kuja niishi na maumivu kwa kiasi hiki. Mipango ya Mungu ni Migumu sana sijui hata kwanini kaamua hili.

Mi namuita mtoto wangu, (mtoto wa kaka, kaka ninaemfata kuzaliwa) alifariki july 2025, hakika Mungu kaamua kunipa maumivu.....

Binti yangu huyu alianza kuumwa mwaka jana october, siku ya nyerere day aliamka na uvimbe usoni mama akajua labda kapigana tu na mdogo ake kama kawaida fujo za watoto, siku ya pili uvimbe ukazidi ya tatu uvimbe ni mkubwa hadi umepush jicho nje, wakaenda hospital. Majibu akaaambiwa hawana uhakika ila ni dalili ya cancer (walimficha tu ila walijua ukweli) binti yangu kaanza matibabu na akakaa sawa. Ikawa aje ocean road kuja kuanza chemotherapy.

22 june nikamfanyia booking ya sgr aje kwa ajili ya matibabu, hiyo siku nikaenda kumpokea anatembea mwenyewe anaongea na simu kuwajulisha siblings kuwa kafika nlifurahi kumuona. Tukaanza utaratibu wa hospital, kujisajiri nk.

27 June ilikua birthday yake akitimiza miaka 6 japo ni siku tumetoka hospital ila tuliamua akate keki tule...View attachment 3466019

Ijumaa birthday, jpili hali yake ilibadilika akaanza kutapika usiku jtatu tukaenda muhimbili emergency....tumemuuguza july 16 akafariki mwanangu.

NIMESHINDWA KUPONA 😭😭😭
Pumzika kwa amani mwanangu, Mungu nilimuomba sana anihurumie kwa ajili yako ikashindikana. Nina maumivu sana.

Inaniuma nimempokea anatembea lakini nikapeleka nyumbani kwetu Jeneza 😭😭 Mungu nitamlilia sana
Pole sana, Mungu akutangulie kwenye imani.
 
Soo sad yani …inauma sana kupoteza mtoto mdogo kama huyu..hili jambo ndilo huwa linanifikirisha sana…why why Mungu ana ruhusu haya maumivu? Mbona hawa wenzetu waliishi miaka mingi tuu na pamoja kuwa na maovu?
Angali kizazi cha Adam pamoja na kuhasi lakini miaka walio ishi ilikuwa mingi wengi wao hawakufa wakiwa wadogo hivi why?


„And Seth was a hundred and five years old when he became the father of Enosh:--Genesis 5:6”

Pole sana Mwl Evelyn Salt maumivu uliyonayo hakuna wa kuyabeba ni muda pekee utayaponya na utapoa…inauma sana sana ! Mungu ni mwema kila wakati pamoja na maumivu…
Poleeeee😭😭😭😭😭
 
Hakuna kitu naumia kama kuona mtoto akiumwa au akifa, natamani ulimwengu ungefanya watoto wote wawe na furaha tu hadi wakifika umri wa utu uzima,
Pole sana Eve na Kapeace siwezi kuyabeba maumivu yenu ila ninayahisi.
Acha Dr nilikuwa nikilala nasikia mtoto akilia, mpaka sasa imefanya usingizi wangu uwe wa tabu sana,

Ndo hivyo unalipokea unashukuru unalia unalaumu unasahau unakumbuka,,ilibidi nitafute msaada kwa wanasaikolojia, tiba yake ni kupata tu mtoto/watoto wengine
 
Back
Top Bottom