Ninahitaji watu wenye idea na video production watakaokuwa tayari kujitolea kufanya project free ila kwa malengo

Shida siyo vifaa shida ni kujua kutumia vifaa vyenyewe. Kuna movie moja imeshootiwa kwa iPhone 5s na ni movie ya mbele lakini quality yake huwezi kuiringanisha na movie zetu hata kidogo. Kuwa na vifaa high end bila uwezo haviwezi kukusaidia. Na muda mwingine kuna technology zinakuwa invented wakati wakitatua changamoto ya kushoot movie.
Naona unajisifu, nikuulize ushawahi kutengeneza documentary au unafikiria kuwa unaweza kutengeneza documentary nzuri tu?
Umetoa somo mujarabu kabisa, bongo sa hivi naona kuna watu wanakuja vizuri kuliko huyu jamaa anavyowachukulia!
 
kumbe unaweza kwa kuongea sasa kama kwa kuongea na kwakuimagine Mimi naweza kupigana na Antony Joshua na nikampiga.

usiwe keyboard warrior.
Amesahau, hii kazi si ya kitoto, ukianza kufanya ndo utajua kumbe hujui!
 
Wadau kila mtu yuko na imani yake kuna mwingine anajiamini kwa anachokifikiria pasipokujua ugumu wa kukitoa kichwani na kukileta kwa hadhira tukione ila sio vibaya kujiamini hivyo tusiwe wakosoaji tu
 
Back
Top Bottom