Chuku chuku
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 873
- 1,345
Umetoa somo mujarabu kabisa, bongo sa hivi naona kuna watu wanakuja vizuri kuliko huyu jamaa anavyowachukulia!Shida siyo vifaa shida ni kujua kutumia vifaa vyenyewe. Kuna movie moja imeshootiwa kwa iPhone 5s na ni movie ya mbele lakini quality yake huwezi kuiringanisha na movie zetu hata kidogo. Kuwa na vifaa high end bila uwezo haviwezi kukusaidia. Na muda mwingine kuna technology zinakuwa invented wakati wakitatua changamoto ya kushoot movie.
Naona unajisifu, nikuulize ushawahi kutengeneza documentary au unafikiria kuwa unaweza kutengeneza documentary nzuri tu?