Idrisajr
Member
- Jan 15, 2018
- 7
- 7
Nadhani kwa wale wenye idea na mambo ya movie making wanaelewa ila lengo la kuanzisha hii thread ni kukutanisha watu wenye mawazo tofauti ya idea moja.
Na sio mawazo tu hata nyenzo(vitendea kazi) naamini tupo vijana wengi ambao tuna idea ila jinsi ya kuzifikisha kuna vitu vinatukwamisha kama mitaji ya kufanya hivyo vitu hivyo ukiwa na idea yoyote inayozunguka hii thread itakuw vizuri ukichangia au ukiwa mmoja wetu.
Ukiwa na uelewa wa hivi vitu utatufaa pia mtunzi wa stori, location manager, camera man, vfx &matte painter, sound designer na mtu mwenye idea na program zifuatazo pia atahitajika AE, PP, PS, nuke, fusion na zozote ambazo zinahusika na hizi mambo.
(IKUMBUKWE-tunahitaji watu ambao watajitoa sababu hakuna ambae atalipwa kupitia hili malipo yetu ni kufanya kitu kizuri ili kije kutulipa baadae nmeandika hii sababu hata mm nina idea za hii kitu ila sina mtaji wa kufanya peke yangu lakini naamini tukiwa wengi tunaouwezo wa kulifanikisha hili jambo) ukiwa interested just nicheki 0684842325
Na sio mawazo tu hata nyenzo(vitendea kazi) naamini tupo vijana wengi ambao tuna idea ila jinsi ya kuzifikisha kuna vitu vinatukwamisha kama mitaji ya kufanya hivyo vitu hivyo ukiwa na idea yoyote inayozunguka hii thread itakuw vizuri ukichangia au ukiwa mmoja wetu.
Ukiwa na uelewa wa hivi vitu utatufaa pia mtunzi wa stori, location manager, camera man, vfx &matte painter, sound designer na mtu mwenye idea na program zifuatazo pia atahitajika AE, PP, PS, nuke, fusion na zozote ambazo zinahusika na hizi mambo.
(IKUMBUKWE-tunahitaji watu ambao watajitoa sababu hakuna ambae atalipwa kupitia hili malipo yetu ni kufanya kitu kizuri ili kije kutulipa baadae nmeandika hii sababu hata mm nina idea za hii kitu ila sina mtaji wa kufanya peke yangu lakini naamini tukiwa wengi tunaouwezo wa kulifanikisha hili jambo) ukiwa interested just nicheki 0684842325