Hebu fanya editing utueleze vizuri. Mi binafsi sijaelewa tatizo lako ni nini.Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake
Kuna mmoja nilimpa ushauri wa kisaikolojia alikuwa na tatizo kamamhilo, kumbe ujanani kwake alikuwa na wanaume wengi sana nilipata shida sana kumsaidiaMume wako alishakufa au mmeachana?
Elezea vizuri
Pigana kwa maombi makali ya vita usikubali hiyo hali.Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake
Sasa watu wanakuja kwa sura yake yeye akiwa wapi na wanakuja ukiwa macho au ukiwa umelala? na wakija wanasemaje? kwani mkuu huwezi kutupa detailed info tukajua tunakushaurije.Yupo hai
Mkuu mbona umeandika kama verse ya wimbo.Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake