simon baker
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 519
- 690
mbona ime download hapa nimekuta bado nadaiwa...
nika futa chap...
nika futa chap...
Kuna mzee mmoja hapa dar, Msikiti wa Kwa Mpogo Temeke alishauri fedha fulani za mradi wa msikiti zitumike kujenga mahali pa kuoshea maiti.Muosha huogeshwa hadharani.
Nahisi ukienda kujilipua wanakwambia ombi lako linashughulikiwa utakaa siku tatu hamna majibu zamani hata dakika tano hazifiki washakupa