kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
- Thread starter
- #41
Umemaliza vizuri mkuu madeni kulipa ni kazi ngumu mnooHapo uliposema hauna mpango wa kuwalipa kwa sasa na vilevile hadi utakapo pata pesa nzuri, hauwezi kumlipa mdeni wako kwa pesa ya ziada, kwanza haipo, ni sawa na mtu anapojibana kukukopesha pesa wakati ana mambo yake ila ameamua tu akusaidie kisha unaanza kutaka upate pesa ambayo inabaki baada ya mambo yako ndio umlipe, haiendi hivyo MKUU.
Ushauri wangu, jitahidi walipe kidogo kidogo katika hali ngumu hiyo hiyo unayopitia. Siku ingine utakosa mtu wa kukusaidia.
Lakini sikulaumu sana, kulipa madeni ni kipaji.
Sent using Jamii Forums mobile app