kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
- Thread starter
- #21
Wanatushawishi sanaa naoMatangazo yao yananikera sana ngoja niwakope ili kuwakomesha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatushawishi sanaa naoMatangazo yao yananikera sana ngoja niwakope ili kuwakomesha!
Branch watakusumbua sana..mimeseji kila siku na kupigiwa simu hadi keroWasalaam ndugu zangu... Kuna hii mikopo inayotolewa kwa njia ya mitandao nadhani wengi wao tumekopa huko... Sababu wana ushawishi mkubwa mnoo wa matangazo yao
M-pawa nilianza kukopa tangu nipo chuo nasoma nilikua nakopa boom likitoka nawalipa alafu nakopa tena nikafikisha hadi 79,000 deni lao, baada ya kumaliza chuo nilishindwa kuwalipa pesa yote hivyo nikalipa kidogo hadi deni likabaki 48,000
Mwaka jana mwishoni nikakopa branch kwakua walikua wana nishawishi kwa matangazo yao ila tatizo mkopo wao ulikua haupandi unaishia 23800 pamoja na riba nimelipa mara tatu.. nikaona niachane nao hivyo deni nnalo la 23800
Nikahamia tala... Hakika tala kwenye kupandisha pesa kila unapo lipa deni wako vizuri na wanapanda kwa 20,000 kila unapo rejesha mkopo wako... Nilikua nalipa deni lao kila baada ya siku tatu nikajikuta pesa imefika hadi 193,000 kwa week mbili na nusu...
Tatizo kwa sasa sina pesa ya kuwarejeshea hao jamaa... Pesa ninayo ipata inaishia kwenye matumizi yangu ya kila siku na pango la nyumba...
Je! Hao jamaa watanifanya nini maana wameanza kunitumia meseji za vitisho.. sijui nitaorodheshwa kama mdaiwa sugu hao m-pawa na deni lao lina miaka zaidi ya mitatu..... Hawa wengine wanasema nitajiharibia CV ya mikopo..
Sina mpango wa kuwalipa Sasa kulingana na hali yangu ya uchumi ila nikipata pesa nzuri nawalipa wote kwa pamoja.....
Sent using Jamii Forums mobile app
mi. Nawaambia nitawalipa nikipata sahivi sina pesaDawa ya moto ni moto. Wakikutisha nawewe watishe.
Mkuu mbona mm mpesa haipandi inabaki 10,000/= kila maraDah! Nilijua ni mimi mwenyewe ni mdaiwa sugu kumbe wapo wengine poa? Hii hali itatufikisha pabaya kwa kweli.
Ninachodaiwa binafsi ni;
1. Tigo nivushe 413,120/=
2. Mpawa 74,300/=
3. Branch 23,800/=
4. Tala 20,000/=
5. Nipige tafu vodacom 6,900/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu kapesa kao 20,000 tuu na wagumu kupandisha nadhani ni wabongo hawaBranch watakusumbua sana..mimeseji kila siku na kupigiwa simu hadi kero
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipe kila baada ya siku tatu unapo kopaMkuu mbona mm mpesa haipandi inabaki 10,000/= kila mara
Japo nachelewa kuwalipa saan
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu ngoja nifanye hivyoWalipe tala taratbu Mkuu,wanasaidia sana unapokwama,ujue sahz kumpata m2 akupe pesa ya fasta n issue sana....hao wengne piga chn bak na tala....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nifundishe kukopa tigo
Anza tu kuwalipa branch maana ile mimeseji yao inakera halafu wanakwambia tutaweka majina kwenye mtandao ya wadaiwa sugu hahaahahahahahahDah! Nilijua ni mimi mwenyewe ni mdaiwa sugu kumbe wapo wengine poa? Hii hali itatufikisha pabaya kwa kweli.
Ninachodaiwa binafsi ni;
1. Tigo nivushe 413,120/=
2. Mpawa 74,300/=
3. Branch 23,800/=
4. Tala 20,000/=
5. Nipige tafu vodacom 6,900/=
Sent using Jamii Forums mobile app
HahhahahahAirtel mwaka jana niliwakopa 48000 mapaka leo sijawaliza ila mwaka jana mwisho nikalipa kingamuzi fedha hazikufika sehemu husika kila nikiwapigia wanadai watalejesha. Mpaka leo kimya nadhan wamejilipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tala na branch ndio kazi nyepesi tigo sijuiMkuu nifundishe kukopa tigo
Kwan hali si hali hapa na wengine kuomba ni wavivu saan
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndo mwanaumeDah! Nilijua ni mimi mwenyewe ni mdaiwa sugu kumbe wapo wengine poa? Hii hali itatufikisha pabaya kwa kweli.
Ninachodaiwa binafsi ni;
1. Tigo nivushe 413,120/=
2. Mpawa 74,300/=
3. Branch 23,800/=
4. Tala 20,000/=
5. Nipige tafu vodacom 6,900/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata wakikukopesha 5000 wanadai balaa..yaan sitaki hata kuwasikiaAlafu kapesa kao 20,000 tuu na wagumu kupandisha nadhani ni wabongo hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujanielewa... Nimekosa pesa ya kuwalipa kwa sasa ila nikipata watapata pesa yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mpango wa kuwalipa Sasa kulingana na hali yangu ya uchumi ila nikipata pesa nzuri nawalipa wote kwa pamoja.....
Wanazingua hao, mpaka wakutumie sms ya kiwango unachostahili kukopa. Inaweza kuchukua hata miezi miwili ku-upgrade kiwango cha kukopa.Mkuu mbona mm mpesa haipandi inabaki 10,000/= kila mara
Japo nachelewa kuwalipa saan
Sent using Jamii Forums mobile app