mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,469
- 4,082
vyuma is very very kazaring napigwa mikwara na m-pawa hata sielewi nitawalipaje.
Sjajua harafu chaajabu hawana namba za simu wao wapo fb, instagram na sms za kawaida kwenda namba 1556
Wapuuzi basi acha wapigweSjajua harafu chaajabu hawana namba za simu wao wapo fb, instagram na sms za kawaida kwenda namba 1556
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole. Mtu unaweza kwenda vizuri tu lkn bahati mbaya inatokea unakuta wao hawakuelewi.vyuma is very very kazaring napigwa mikwara na m-pawa hata sielewi nitawalipaje.
kweli aisee.Pole. Mtu unaweza kwenda vizuri tu lkn bahati mbaya inatokea unakuta wao hawakuelewi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaendanao kwa kidogo kidogo maana nliwaomba wanielekeze ofis zao hawataki
haya majibu ya Raia ni full Raha....
Mkuu umenitisha mpaka nawaza na sina kitu cha kuuza nilipe deni hata nikiuza simu pesa yao haotatosha na ntakua sina cha kuwasiliana nao mmmh!!!Ofisi zao ziko kuzimu ambako hakufikiki kwa hali ya ubinadamu wa kawaida.
Hahaha hivi Tala wanatoa mikopo kwa vigezo vipi ? Maana kwa hali hii sijui kama watalipwaMi wananidai na nina mpango wa kuwalipa ila nimekuwa nimelazwa hospital wiki mbili na wanaendelea kunitisha na hawaelewi ,sijui nife ili wafurahi na tuone watalipwaje! Hata pole hakuna wakati mm ni mteja wao wa muda mrefu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah wewe si kuna elfu 70 au 80 ulimkopesha jamaa yako hajakulipa ukasema hutamsamehe mpaka unaingia kaburini ?Wewe upo timamu kweli??? Unataka kuwalipa tala??? Hiiiiiiii yaani mkopo ambao nalipa ni wa bank tu ....labda na mtu binafsi nikimkopa nitamlipa ila sio tala ...branch ...airtel timiza Mara tigo nivushe hiii siwalipi ng'o hawa viumbe .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao tala waliniibia sasa na Mimi wacha niwakomesheDah wewe si kuna elfu 70 au 80 ulimkopesha jamaa yako hajakulipa ukasema hutamsamehe mpaka unaingia kaburini ?
Kwanini usilipe wa Tala ?
Sent using Jamii Forums mobile app