BEN MAHENGE
Senior Member
- Jan 28, 2014
- 131
- 102
acha uoga mkuu akati Lema anadaiwa mil 400 na bunge na bado anadunda kitaa sembuse ww... tala wenyew wanakesiNina daiwa laki moja na tala,nimeshindwa kuwalipa kwa wakat deni lao,kutonana na matatizo ya kifamilia.
Nakosa furaha maana tala wananitumia ujumbe wa vitisho,kuwa watanitangaza kwenye radio na magazet kuwa Mimi ni mdaiwa sugu.
Pia wanasema wameanza kunifuatilia kwenye mtandao wa tigo na mtaani kwangu kwa kutumia jeshi la Polisi.
Nakosa furaha kabisa, natamani kuwalipa lakini vyuma vimekaza sana.
Nifanyeje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app