Ninachokiona watawala wanafanya makusudi kutosimamia mradi wa Mwendokasi ili wapate sababu za kuendeshwa na wageni

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Kama kawaida ya watawala wetu wanawaza kuuza na kukodisha kwa kigezo watu weusi watanzania wameshindwa kuendesha. Hali ya mradi huu kwa sasa ni mbaya hakuna usimamizi. Kwa hali ilivyo sasa ambapo tumekopa kujenga miundombinu na kununua magari ya mwendo kasi tulitegemea wazawa wangeachwa wanaendesha.

Ukweli uliopo kwa sasa ipo kila dalili kwamba tayari yupo mtu ameuziwa huu mradi aanze kukusanya pesa na kuzipeleka kwao Ulaya au Asia.

Kinachoendelea na nilichokiona ni wazi watawala wanafanya makusudi kutosimamia mradi huu ili wapate sababu za kuuza kwa wageni.

Yapo makampuni ya mabasi ya watu weusi yanayosimamiwa na watanzania hayana management mbovu kama mwendo kasi . Makampuni hayo yamejiri watanzania na yanapata faida na kulipa kodi zote. Tulitegemea wenye mabasi wapewe tenda kama serikali imeshindwa ila naamini wataambiwa mitaji yao midogo na hawana uzoefu.

Nipo paleee nimekaa natazama mkoloni anayeletwa kutawala. Kataa utumwa
 
Kama kawaida ya watawala wetu wanawaza kuuza na kukodisha kwa kigezo watu weusi watanzania wameshindwa kuendesha. Hali ya mradi huu kwa sasa ni mbaya hakuna usimamizi. Kwa hali ilivyo sasa ambapo tumekopa kujenga miundombinu na kununua magari ya mwendo kasi tulitegemea wazawa wangeachwa wanaendesha.

Ukweli uliopo kwa sasa ipo kila dalili kwamba tayari yupo mtu ameuziwa huu mradi aanze kukusanya pesa na kuzipeleka kwao Ulaya au Asia.

Kinachoendelea na nilichokiona ni wazi watawala wanafanya makusudi kutosimamia mradi huu ili wapate sababu za kuuza kwa wageni.

Yapo makampuni ya mabasi ya watu weusi yanayosimamiwa na watanzania hayana management mbovu kama mwendo kasi . Makampuni hayo yamejiri watanzania na yanapata faida na kulipa kodi zote. Tulitegemea wenye mabasi wapewe tenda kama serikali imeshindwa ila naamini wataambiwa mitaji yao midogo na hawana uzoefu...........

Nipo paleee nimekaa natazama mkoloni anayeletwa kutawala.. ...... Kataa utumwa
Aisee..
 
Sasa kwa nini hakuna usimamizi? Waliopewa kwa sasa ni watanzania wazawa inakuwaje wanashindwa?

Halafu mukiambiwa watafutwe wenye uwezo mnaanza kuwa na midomo mireeefu na klla mwananchi ghafla anageuka mwanasheria na kuanza kuchambua mikataba.
 
Kama kawaida ya watawala wetu wanawaza kuuza na kukodisha kwa kigezo watu weusi watanzania wameshindwa kuendesha. Hali ya mradi huu kwa sasa ni mbaya hakuna usimamizi. Kwa hali ilivyo sasa ambapo tumekopa kujenga miundombinu na kununua magari ya mwendo kasi tulitegemea wazawa wangeachwa wanaendesha.

Ukweli uliopo kwa sasa ipo kila dalili kwamba tayari yupo mtu ameuziwa huu mradi aanze kukusanya pesa na kuzipeleka kwao Ulaya au Asia.

Kinachoendelea na nilichokiona ni wazi watawala wanafanya makusudi kutosimamia mradi huu ili wapate sababu za kuuza kwa wageni.

Yapo makampuni ya mabasi ya watu weusi yanayosimamiwa na watanzania hayana management mbovu kama mwendo kasi . Makampuni hayo yamejiri watanzania na yanapata faida na kulipa kodi zote. Tulitegemea wenye mabasi wapewe tenda kama serikali imeshindwa ila naamini wataambiwa mitaji yao midogo na hawana uzoefu...........

Nipo paleee nimekaa natazama mkoloni anayeletwa kutawala.. ...... Kataa utumwa
Mradi lazima ubinafsishwe,unataka uendelee kufoege tiketi fake,mnachezea mashine za kielekroniki nk

Tafuta mwekezaji Mali ya serikali ni shamba la bibi..

Imagine daladala zinapata faidia ipa Mwendokasi inapata hasara
 
Kama kawaida ya watawala wetu wanawaza kuuza na kukodisha kwa kigezo watu weusi watanzania wameshindwa kuendesha. Hali ya mradi huu kwa sasa ni mbaya hakuna usimamizi. Kwa hali ilivyo sasa ambapo tumekopa kujenga miundombinu na kununua magari ya mwendo kasi tulitegemea wazawa wangeachwa wanaendesha.

Ukweli uliopo kwa sasa ipo kila dalili kwamba tayari yupo mtu ameuziwa huu mradi aanze kukusanya pesa na kuzipeleka kwao Ulaya au Asia.

Kinachoendelea na nilichokiona ni wazi watawala wanafanya makusudi kutosimamia mradi huu ili wapate sababu za kuuza kwa wageni.

Yapo makampuni ya mabasi ya watu weusi yanayosimamiwa na watanzania hayana management mbovu kama mwendo kasi . Makampuni hayo yamejiri watanzania na yanapata faida na kulipa kodi zote. Tulitegemea wenye mabasi wapewe tenda kama serikali imeshindwa ila naamini wataambiwa mitaji yao midogo na hawana uzoefu...........

Nipo paleee nimekaa natazama mkoloni anayeletwa kutawala.. ...... Kataa utumwa
Huu mwendo kasi mara mia wampe Abood au Shabiby
 
Kuna list ya mashirika mengi ya umma, anaiandaa Nehemiah Mchechu wa Hazina ili yapewe watu.

Taarifa rasmi ni kwamba watu wameshajichagulia hayo makampuni, Mchechu anapitisha tu. Na tutaambiwa kuna watu wa nje, kumbe ni mgongo tu.

Kibaya ni kwamba ni nani ataonesha kwamba yameshindwa kujiendesha, au ni uzembe wa usimamizi na sera mbovu.
 
Back
Top Bottom