Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

Status
Not open for further replies.

sweet poison

Senior Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
104
Reaction score
15
Mara nyingi Watanzania hususani Waislam tumekuwa katika mkanganyiko mkubwa kwamba BAKWATA ni ya Waislam, wengine wakisema ya serikali, na wengine wakiwa na majibu yao mengine!

Nimekuwa nikimsikiliza mtu mmoja hapa katika mikutano yake nanukuu "BAKWATA ni tawi la Kanisa," baada ya kusoma rejea mbalimbali kufahamu historia ya BAKWATA nikagundua kuwa mwaka 1968 ndio ulikuwa mwanzo wa BAKWATA.

BAKWATA iliundwa na mwalimu Nyerere baada ya kuivunja EAMWS ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni taasisi iliyokuwa imepiga hatua kubwa katika uchumi, siasa na elimu Afrika Mashariki.

Kwanini Nyerere aliivunja EAMWS? Ni swali tuulizane mimi na wewe. Je, alikuwa kama nani katika taasisi za dini? Nalo tuulizane.

Kiufupi, BAKWATA imekuwa ikipingana sana na Waislamu waliowengi hapa nchini katika mambo mengi yahusuyo dini, kibaya zaidi inapingana hata na taasisi zingine za Kiislam!

Nawaulizeni wadau, BAKWATA ni ya nani?
 
Bakwata ni Masihu Da Jaal. Wapo hapo kuuangamiza uislamu ili kutimiza azma ya kuanzishwa kwake. Inasikitisha sana kuona mwenye jina la kiislamu ndiye anayetumika kuuwa uislamu na waislamu. Allah atujaalie na awaangamize hawa kama alivyofanya kwa majeuri na majabari wengine kama akina Kaaruni. AMEEN
 
Mara nyingi watanzania hususani waislam tumekuwa ktk mkanganyiko mkubwa kwamba BAKWATA ni ya waislam,serikali au???????.nimekuwa nikimsikiliza mtu mmoja hapa ktk mikutano yake nanukuu"Bakwata ni tawi la Kanisa,"baada ya kusoma rejea mbalimbali kufahamu historia ya Bakwata nikagundua kuwa mwaka 1968 ndio ulikuwa mwanzo wa Bakwata.Bakwata iliundwa na mwalimu Nyerere baada ya kuivunja EAMWS ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni taasisi iliyokuwa imepiga hatua kubwa ktk uchumi,siasa na elimu Afr.mashariki.kwanini Nyerere aliivunja EAMWS?ni swali tuulizane mm na ww,alikuwa kama nani ktk taasisi za dini? nalo tuulizane.kiufupi Bakwata imekuwa ikipingana sana na waislamu waliowengi hapa nchini ktk mambo mengi yahusuyo dini kibaya zaidi inapingana hata na taasisi zingine za kiislam.nawaulizeni wadau BAKWATA NI ya nani?

Umeongea vizuri, lakini una ushahidi kuwa ni Nyerere aliua ulichokiita EAMWS (what is the long form it it). We need concrete evidence and not speculations!
 
Mara nyingi watanzania hususani waislam tumekuwa ktk mkanganyiko mkubwa kwamba BAKWATA ni ya waislam,serikali au???????.nimekuwa nikimsikiliza mtu mmoja hapa ktk mikutano yake nanukuu"Bakwata ni tawi la Kanisa,"baada ya kusoma rejea mbalimbali kufahamu historia ya Bakwata nikagundua kuwa mwaka 1968 ndio ulikuwa mwanzo wa Bakwata.Bakwata iliundwa na mwalimu Nyerere baada ya kuivunja EAMWS ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni taasisi iliyokuwa imepiga hatua kubwa ktk uchumi,siasa na elimu Afr.mashariki.kwanini Nyerere aliivunja EAMWS?ni swali tuulizane mm na ww,alikuwa kama nani ktk taasisi za dini? nalo tuulizane.kiufupi Bakwata imekuwa ikipingana sana na waislamu waliowengi hapa nchini ktk mambo mengi yahusuyo dini kibaya zaidi inapingana hata na taasisi zingine za kiislam.nawaulizeni wadau BAKWATA NI ya nani?
ni jumuiya mojawapo ya CCM,huku kikiwa ni kitengo muhimu cha TISS
 
Mara nyingi watanzania hususani waislam tumekuwa ktk mkanganyiko mkubwa kwamba BAKWATA ni ya waislam,serikali au???????.nimekuwa nikimsikiliza mtu mmoja hapa ktk mikutano yake nanukuu"Bakwata ni tawi la Kanisa,"baada ya kusoma rejea mbalimbali kufahamu historia ya Bakwata nikagundua kuwa mwaka 1968 ndio ulikuwa mwanzo wa Bakwata.Bakwata iliundwa na mwalimu Nyerere baada ya kuivunja EAMWS ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni taasisi iliyokuwa imepiga hatua kubwa ktk uchumi,siasa na elimu Afr.mashariki.kwanini Nyerere aliivunja EAMWS?ni swali tuulizane mm na ww,alikuwa kama nani ktk taasisi za dini? nalo tuulizane.kiufupi Bakwata imekuwa ikipingana sana na waislamu waliowengi hapa nchini ktk mambo mengi yahusuyo dini kibaya zaidi inapingana hata na taasisi zingine za kiislam.nawaulizeni wadau BAKWATA NI ya nani?

Hivi ni kwa nini waislamu duniani kote (hata kwenye nchi za kiislam) wanalialia kuonewa? Enyi walimwengu, kwani kuwanyanyapaa waislamu?
 
Kwauwelewa wangu, Bakwata nichombo kilochoundwa na Mkatoriki (Nyerere). kwakazi ya kuwasulubu Muslim of Tanzânia. Bakwata vilevile nitawi la CCM kwaupande wa kisiasa. Bakwata haiwezi kumkomboa Muislam wa TZ, kwakua viongozi waliopale ni mapandikizi ya Serkali ya CCM, niwatu wasie na Elimu ya sekula wenyewe wanajua kutiaudhu na kuswali tu, zaidi ya hapo ni maudi basi.
 
Umeongea vizuri, lakini una ushahidi kuwa ni Nyerere aliua ulichokiita EAMWS (what is the long form it it). We need concrete evidence and not speculations!
Mkuu,Ushahidi upo tena mweupee. tuombe mungu, nipo kwenye kufanya upekuzi wa vitabu mbali mbali ili nikupe uupitie kwa faida yako na wengine.
 
Ushahidi upo eamws haikufa bali nyerere aliifuta akaanzisha bakwata na hoja yake ilikuwa finyu tu eti eamws inaongozwa na waarabu ndio akaanzisha bakwata inayoongozwa na mswahili
Kirefu cha eamws ni east africa muslim walfare society wakati bakwata ni baraza la kuua waislamu tanzania
 
Kasome kitabu cha untold story of tanganyika utapata kujua kuhusu eamws na bakwata
 
baada ya kusoma rejea mbalimbali kufahamu historia ya

Tatizo ni pale unaposoma histohisia ya Mohamed Said (kama rejea kuu) halafu unajiridhisha kuwa umesoma rejea mbambali.

Soma na references zingine.
BAKWATA ni ya waislam period.
Hatuwezi kuwazuia watu wanaojipa mamlaka ya kuamua eti Abdallah na Hamis sio waislam kwa vile tu wapo BAKWATA. Baraza kuu la waislam Tanzania, ni Chombo cha waislam. Hutaki unaacha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom