Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

Status
Not open for further replies.
Upuuzi ni hulka muhimu kwakila mwanadamu, lakini upumbavu ni ugonjwa tasa, EAMWS ilivunjika kutokana na mgogiro wao wa ndank katika ya makao makuu namikoani, Mgogoro ulitokana na "ufisadi" uliokithiri pale makao makuu ukiongozwa na mwenyekiti wa EAMWS taolifa Shehe Amir, Mwalimu Nyerere ama serikali yake hawakuhusika kwa lolote juu ya kifo cha EAMWS wala kuundwa kwa BAKWATA, Serikali ilichofanya nikupokea chombo kipya cha kuwasimamia waislamu tu Endeleeni kupoteza mda hapa kwaakulialia kila kukicha, Haya muislmu mwenzenu Mwinyi alifuata baada ya Nyerere, je alishindwa kuirejesha EAMWS? Muislmu mwingine Jakaya yupo madarakani, je amshindwa nini kutatua kelele zenu?
amebanwa na mfumo kristo!
 
Well, Nyerere alianzisha BAKWATA ambayo baadhi yenu hamridhiki nayo. Mwl.Nyerere ameshafariki kwa nini msianzishe hicho mnachokitaka badala ya kulalamika?! Mbona rahisi sana kuanzisha hizi jumuiya kama ile ya shekhe Ponda.
 
BAKWATA ni chombo cha waislamu wote Tanzania wasioipenda ni maadui wa uislam.
 
sweet poison
Bakwata iliundwa na mwalimu Nyerere baada ya kuivunja EAMWS ambayo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni taasisi iliyokuwa imepiga hatua kubwa ktk uchumi,siasa na elimu Afr.mashariki.
===>Sina ushahidi na hili,labda kuna mali zozote ambazo mnzikumbuka kuwa zilikuwa za EAMWS zirudishwe kutoka srikalini?
===>Kuna jamaa yangu aliniambia kuwa huwezi kuanzisha kitu chochote kinachohusiana na dini ya kiisalmu mpaka Uwaone Bakwata na wakubali,sina uhakika sana na hili,lakini halikaa sawa
===>Nimesikia pia Kadhi mkuu tayari alishachaguliwa na BAKWATA (MUFTI) sijajua nani ana mamlaka ya kumteua nani kati ya watu hawa wawili (MUFTI na KADHI)
===>Serikali iyaangalie haya mambo,mzaha mzaha hutumbuka usaha.
 
BAKWATA ni chombo cha waislamu wote Tanzania wasioipenda ni maadui wa uislam.
tunaopata shida ndo tunajua!we huna lolote unalolijua juu ya bakwata bora ukae kimya usije ukakufuru,pia usizungumzie kitu ambacho huna elimu nacho,bakwata ni kama mtihani ambao allah ametupa ili atujue yupi muislamu wa kweli na yupi asije wa kweli,tahadhari usije ukawa kafir(kama bado)kama tayari kafir ni juu yako,hakuna kulazimishana katika dini.
 
Bwakwata mshauri wao wa mambo ya proper gation ni pengo,halafu useme ipo kwa ajili ya waisilam, sahau
 
Kwauwelewa wangu, Bakwata nichombo kilochoundwa na Mkatoriki (Nyerere). kwakazi ya kuwasulubu Muslim of Tanzânia. Bakwata vilevile nitawi la CCM kwaupande wa kisiasa. Bakwata haiwezi kumkomboa Muislam wa TZ, kwakua viongozi waliopale ni mapandikizi ya Serkali ya CCM, niwatu wasie na Elimu ya sekula wenyewe wanajua kutiaudhu na kuswali tu, zaidi ya hapo ni maudi basi.

Hivi hii bakwata inamkandamiza muislam kivipi wakati waislam wengi wameamua kutoifuata bakwata na wanaendesha mambo yao kivyao? .Tatizo wengi wanaoipinga bakwata wanataka kufanya mambo kienyeji bila mpangilio maalum yani hawataki "centralization system" . Naomba mfafanue namna bakwata inavyokandamiza waislam
 
Nasubiri kuona hii thread itafungiwa saa ngapi, maana ikianzishwa mjadala unaohusu waislamu basi vidudu mtu lazma wachafue hewa ili waislamu wasipate wasaa wa kujadili yanayowahusu,,

Hivi wewe unaona hapa ndio mahala sahihi pa kujadili mambo ya waislam? mwenyekiti wa mjadala ni nani na katibu anaeandika hoja za wajumbe ni nani?. Ofisi za bakwata zipo wazi na viongozi wapo kwa nini msiende kuongea nao kama kweli mna hoja za msingi kuhusu mwenendo wa bakwata?
 
Sasa kama tunaikataa BAKWATA kwasababu imeanzishwa na serekali mbona tunashinikiza serekali ituundie mahakama ya kadhi ?.


maskini wa akili.

tunaopata shida ndo tunajua!we huna lolote unalolijua juu ya bakwata bora ukae kimya usije ukakufuru,pia usizungumzie kitu ambacho huna elimu nacho,bakwata ni kama mtihani ambao allah ametupa ili atujue yupi muislamu wa kweli na yupi asije wa kweli,tahadhari usije ukawa kafir(kama bado)kama tayari kafir ni juu yako,hakuna kulazimishana katika dini.
 
Nasikia na watemi kama kina Ntemi Chenge nao wanasema kuwa huyu mzee aliwafutilia mbali ili kulinda "mfumo kristu" afu eti Waitaliano wa hapa Tanganyika nao wanalia kuwa aliwanyang'anya shule zao ili wapagani na wale wa dini ya
"MNYAZIMUNGU" wapate nafasi ya kufuta maujinga yao! Leo kila mtu anamlaani huyu mzee lakini ndo yeye kawasaidia wengi mkajua hata kutumia kompyuta mpakato! Nyambaf kabisaaaa./
 
Nasubiri kuona hii thread itafungiwa saa ngapi, maana ikianzishwa mjadala unaohusu waislamu basi vidudu mtu lazma wachafue hewa ili waislamu wasipate wasaa wa kujadili yanayowahusu,,
ushawatoa nishai,.....wanaona aibu
Labda mpaka jioni
 
Tatizo ni pale unaposoma histohisia ya Mohamed Said (kama rejea kuu) halafu unajiridhisha kuwa umesoma rejea mbambali.

Soma na references zingine.
BAKWATA ni ya waislam period.
Hatuwezi kuwazuia watu wanaojipa mamlaka ya kuamua eti Abdallah na Hamis sio waislam kwa vile tu wapo BAKWATA. Baraza kuu la waislam Tanzania, ni Chombo cha waislam. Hutaki unaacha!

shusha hoja za msingi nani kaianzisha Bakwata? na nitajie malengo ya kuanzishwa kwake.issue hapa si kunilazimisha kuwa nitaka au sitaki.
 
Hawa wanaolia kuwa serikali iliwaundia Bakwata ndio hao hao leo wanaolilia serikali iwaundie mahakama ya kadhi
Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana,
 
Mkuu,Ushahidi upo tena mweupee. tuombe mungu, nipo kwenye kufanya upekuzi wa vitabu mbali mbali ili nikupe uupitie kwa faida yako na wengine.
ukithibisha vizuri mkuu hapo ndipo watu watamkubali sheikh ponda
 
Ushahidi upo eamws haikufa bali nyerere aliifuta akaanzisha bakwata na hoja yake ilikuwa finyu tu eti eamws inaongozwa na waarabu ndio akaanzisha bakwata inayoongozwa na mswahili
Kirefu cha eamws ni east africa muslim walfare society wakati bakwata ni baraza la kuua waislamu tanzania

cna comment, maana hata dini yangu ni tofauti ..............
 
Hawa wanaolia kuwa serikali iliwaundia Bakwata ndio hao hao leo wanaolilia serikali iwaundie mahakama ya kadhi
Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana,

mkuu elewa mada,Labda nirudie mada,"BAKWATA NI YA NANI?,YA WAISLAM,SERIKALI AU???????.Toa hoja juu ya mada hii,ya kadhi tutaiwasilisha cku nyingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom