sweet poison
Senior Member
- Aug 16, 2013
- 104
- 15
- Thread starter
- #61
Well, Nyerere alianzisha BAKWATA ambayo baadhi yenu hamridhiki nayo. Mwl.Nyerere ameshafariki kwa nini msianzishe hicho mnachokitaka badala ya kulalamika?! Mbona rahisi sana kuanzisha hizi jumuiya kama ile ya shekhe Ponda.
usifikiri kuanzisha taasisi ni kazi rahisi hivyo! kinachokuja ni pale "mfumo" unapoendelea kuikumbatia BAKWATA ambayo mantiki yake me na ww tunataka kuijua kutoka kwa wadau wanaojua.