Ndio maamuzi niliayoamua na hapa nafanya mpango kukusanya vyangu huku nilipo, najua life litazonga ila kipimo cha akili ni ugumu wa maisha, ipo siku nitatoka tu. Siwezi kuwa mtumwa kamwe.
Nilisimamia mitihani ya kidato cha pili, mtihani umeisha hatukulipwa hadi jana, jana watu wanalipwa nakuja kufatilia pesa yangu naambiwa jina langu halipo, leo nimuone afisa elimu, namuona leo anasema hakuna fungu nilisahaulika niandike Barua kufungua madai nitalipwa kwa OC (other chages) mafungu ya mkurugenzi.
Tafsiri yake ni kuwa limeshakuwa deni tayari hili, jasho langu, kila siku nilitumia tsh 8000 kwenda na kurudi kusimamia mitihani kwa siku saba. Kuja hapa halimashauri kutoka nnakoishi nakodi pikipiki elf 8 kwenda na kurudi kila siku, hapo bado kula, Nimetumia pesa eti leo nidai tena. HAPANA
Tangu nimeanza kazi nna miaka mitatu sasa ninaidai serikali, alafu leo niongeze tena kudai?
Kwa dhati ya moyo wangu nimeamua na sirudi nyuma, nimeachana na ualimu Rasmi, siwez kuwa mtumwa kwa haki yangu. Nita fight, nitatoka, sio wote wenye kazi ndio wanamudu maisha .
Mkuu mkwanza nakupa hongera kwa hatua uliyoichukua.
Ualimu wa Tz ni ukichaa,kazi utafanya weee ila maslahi utayapata kwa kusota.
Maafisa elimu wengi wao ni vichwa maji,wababe,wasiojua wajibu wao wala majukumu yao. Wao ni ngono tu na rushwa zisizokuwa na vichwa wala mkia.
Ukiwa mwalimu utaishia kudharaulika mbele ya jamii yako inayokuzunguka,wanafunzi wako na kila mtu( hata serikali inadharau walimu-nadhani mliona alichokuwa akifanya kikwete na kushangiliwa na wazee wa Dar ambao mimi niliwaona ni wahuni tu).
Zamani ualimu ulikuwa ni kazi ya heshima sana,utapendwa na jamii yote na kuheshimiwa na wanafunzi wako,hali ilishabadilika kitambo sana- leo wazazi wanawachukia walimu,wanafunzi wanawadharau walimu wao na kuwaona maskini wasiojiweza,watu wasio na kipato chakueleweka,waganga njaa na maadui wao! Hakuna upendo tena.
Serikali imewatupa walimu,inawadharau,inawachonganisha na jamii,mfano mkuu wa mkoa anaweza akawatangazia wazazi wasilipe mchango wa mlinzi kwakuwa ni jukumu la serikali,alafu mkurugenzi na afisa elimu wakagoma kutoa mshahara wa mlinzi wakitaka wananchi( haohao waliotangaziwa na mkuu wa mkoa wasilipe- ndio walipe)?
Mwalimu ni yatima kiukweli maana hata hiyo CWT ni ya makada wa CCM,ukiwa kiongozi wa CWT msimamia haki kwa walimu basi utajuta,utavalishwa kila aina ya ubaya na majungu.....
Binafsi niliamua kuacha ualimu mara tu baada ya matokeo yaliyoirudisha CCM madarakani mwaka huu,na niliweka uzi wangu humu jukwaani,nitarudi baada ya miaka minne kutoa ushuhuda wangu wa mafaniko niliyoyapata nje ya ualimu.
NB:- Ajira usiyoifurahia ni utumwa grade A.
Ndio maamuzi niliayoamua na hapa nafanya mpango kukusanya vyangu huku nilipo, najua life litazonga ila kipimo cha akili ni ugumu wa maisha, ipo siku nitatoka tu. Siwezi kuwa mtumwa kamwe.
Nilisimamia mitihani ya kidato cha pili, mtihani umeisha hatukulipwa hadi jana, jana watu wanalipwa nakuja kufatilia pesa yangu naambiwa jina langu halipo, leo nimuone afisa elimu, namuona leo anasema hakuna fungu nilisahaulika niandike Barua kufungua madai nitalipwa kwa OC (other chages) mafungu ya mkurugenzi.
Tafsiri yake ni kuwa limeshakuwa deni tayari hili, jasho langu, kila siku nilitumia tsh 8000 kwenda na kurudi kusimamia mitihani kwa siku saba. Kuja hapa halimashauri kutoka nnakoishi nakodi pikipiki elf 8 kwenda na kurudi kila siku, hapo bado kula, Nimetumia pesa eti leo nidai tena. HAPANA
Tangu nimeanza kazi nna miaka mitatu sasa ninaidai serikali, alafu leo niongeze tena kudai?
Kwa dhati ya moyo wangu nimeamua na sirudi nyuma, nimeachana na ualimu Rasmi, siwez kuwa mtumwa kwa haki yangu. Nita fight, nitatoka, sio wote wenye kazi ndio wanamudu maisha .
Ndio maamuzi niliayoamua na hapa nafanya mpango kukusanya vyangu huku nilipo, najua life litazonga ila kipimo cha akili ni ugumu wa maisha, ipo siku nitatoka tu. Siwezi kuwa mtumwa kamwe.
Nilisimamia mitihani ya kidato cha pili, mtihani umeisha hatukulipwa hadi jana, jana watu wanalipwa nakuja kufatilia pesa yangu naambiwa jina langu halipo, leo nimuone afisa elimu, namuona leo anasema hakuna fungu nilisahaulika niandike Barua kufungua madai nitalipwa kwa OC (other chages) mafungu ya mkurugenzi.
Tafsiri yake ni kuwa limeshakuwa deni tayari hili, jasho langu, kila siku nilitumia tsh 8000 kwenda na kurudi kusimamia mitihani kwa siku saba. Kuja hapa halimashauri kutoka nnakoishi nakodi pikipiki elf 8 kwenda na kurudi kila siku, hapo bado kula, Nimetumia pesa eti leo nidai tena. HAPANA
Tangu nimeanza kazi nna miaka mitatu sasa ninaidai serikali, alafu leo niongeze tena kudai?
Kwa dhati ya moyo wangu nimeamua na sirudi nyuma, nimeachana na ualimu Rasmi, siwez kuwa mtumwa kwa haki yangu. Nita fight, nitatoka, sio wote wenye kazi ndio wanamudu maisha .
Nimependa wazo lako..... Asiache kwa pupa, aombe likizo,Nashauri uombe likizo isiyo na mslipo badala ya kuacha kabisa, kakae uswahilini hata miaka miwili, ukishindwa kabisa rudi kazini kwako!
Nimependa wazo lako..... Asiache kwa pupa, aombe likizo,
Mkuu sirudi nyuma, kabla ya kuwa mwalimu mie nilikuwa fighter kitaa na nilikuwa silali njaa. Siwezi kuwa mtumwa kwa haki yangu kabisa nnayohistahili.