Ninaacha Ualimu tangu leo


Mkuu kama ni kweli nakuunga miguu maana umeanza safari njema sana.

Sisi wengine hatuajiriki kwa kuchukia utumwa unaotokana na kuajiriwa.

Bravo only kama ni kweli maana bila kuvuja jasho huwezi kutoka
 
Mkuu usiondoke mikono mitupu. Wakope milioni kadhaa uache wajilipe wenyewe.
 
Huku halmashauri ya mji Masasi tuliosimamia mtihani wa kidato cha NNE tulipata partial payment, hadi Leo hatujalipwa Siku zilizobakia. Nadhani majipu haya ya uzembe na dharau yatumbuliwe pia
 

Mkuu umeandika ukweli sana, walimu ni kazi ya kwanza inayokunyima status, fursa na kila kitu. Kuna watu humu wana ajira zinawapa hata exposure lkn ualimu ni zero.

True story.
Mwaka huu mwezi wa sita nilikaa counselling na mwanafunzi wa kidato cha nne kumuweka sawa ili asikate tamaa ya mtihani. Nikamwambia maisha ya sasa inahtaji watu wenye elimu.

Kwa mshangao alinambia, mwalimu wewe umesoma lakn mbona maisha yako ya kawaida sana, na kuna walimu kibao mtaani wanakopa pesa kila siku kwa watu wasiosoma na wengine wamewafundisha hapahapa. Nilizuga kwa trick kadhaa lkn hii kauli ilibaki moyoni mwangu mpk leo.

Hapo ndio utajua kazi ya ualimu, yani mwanafunzi hana cha kujifunza kwako zaidi ya content mnayo share. Lkn kwenye maisha hana cha ku imitate.
 
usichukue maamuzi ya hasira.afisa elimu sio alpha na omega.fuatilia ngazi za juu zaidi.
 
Njoo Dar, kama hauna aiba na sii mvivu fasta unatoka.
 
majaliwa, mama sita, magufuli, mwanri wangekomaa na ualimu leo hii wangekuwa hawana hata bajaj, Hongera mkuu kwa kukataa kuwa mtumwa
 

Pole sana Dumelang , natamani kama Magufuli angesoma hili bandiko lako!
 
Last edited by a moderator:
Moja ya ethics za ualimu ni, ualimu ni wito, naona wakati wanafundisha hukuwepo.
 


Hasira Hasara!!!
 
Pole ndugu kweli inasikitisha ni uonevu wa mtu asiyetaka kupeleka majina tu mbele

Mungu akufungulie mema na kukupa furaha
 
Je ukija huku mtaani ukapata kazi ingine...say ukajiajiri...na ikatokea issue kama hiyo unamdai mtu anakuzingua...utafanyaje??
 
Nashauri uombe likizo isiyo na mslipo badala ya kuacha kabisa, kakae uswahilini hata miaka miwili, ukishindwa kabisa rudi kazini kwako!
Nimependa wazo lako..... Asiache kwa pupa, aombe likizo,
 
Mkuu sirudi nyuma, kabla ya kuwa mwalimu mie nilikuwa fighter kitaa na nilikuwa silali njaa. Siwezi kuwa mtumwa kwa haki yangu kabisa nnayohistahili.

Mkuu tusikilize,

ile ile pesa unayoidai unitumie kama mtaji. bado kaz unaihitaji. kataa kata kata kufanya hizo kaz, tenga muda ufanye yako
 
Taja hyo halmashauri,mkurugenzi na wale wote waliokusumbua unaweza pata msaada hapa jukwaani maana wengine wapo humu kazi yao ni kutafta majipu yalipo na kumuonesha mkamuaji"
 
Huku unapokuja ni pagumu zaidi ya huko unakotoka. Tatizo sio tatizo ila tatizo ni uwezo wako wa kutatua tatizo! Komaa dogo hlo ni tatzo dogo sana kukufanya uache kazi labda kama umepata kazi nyingne
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…