Nina wapenzi wawili nimuoe nani kati yao?

Yan umedumu na mtoto wa watu kwa miaka mitano mkasomana tabia na ukamuona anakufaa,leo hii unaona bora huyo mwanachuo ambae hata nyendo zake huzijui?

Na kama tokea awali ulikua na malengo ya kuoa mtu wa kabila lako hukujua A sio kabila lako?

Kuhusu changamoto ya maumbile ya miguu nadhani uliijua mwanzon kabisa wa mahusiano yenu,sijui ulikua wapi kukosoa Leo hii umepata mwanachuo ndo unaanza kuyaona hayo.

Pia suala la umri wako na A haukuujua mapema?Kua makini unaeza jikuta unawapoteza wote.Hadi sasa A akipata mwingne anaeeleweka na mwenye mtizamo chanya atamkubalia mana ameshakata tamaa na wewe kwa vitendo vyako.

Then umekiri A alikuvumilia tokea enzi huna kazi ad leo.Huoni huyo ni mwanamke mvumilivu?Pia hakutegemei ni mpaka wewe uamue kumpa mwenyewe.Napo mkipata tegemezi mnanungunika.sasa uko upande gan yan hueleweki
 
Nimekoma kusoma hapo kwa mschana wa pili uliposema tuu, ni Mwanachuo.

Mwanachuo sio mtu wa kumuamini, uwezekano wa kubadirika huko mbele ni mkubwa. Usikute umri wake bado ni under 25.

Oa huyo mdada unaemzidi miezi tuu.

Halafu usikute huyo denti, una msomesha kwa namna moja au nyingine.
Jamaa mwanamke wakugegedanyeye anataka amfanye mke🤣🤣🤣🤣
 
Hata tukikushauri najua utaoa huyo wa 2 kwa sababu kwa saikolojia inavinavyoonesha unamkubali huyo wa 2 zaidi. Ukioa wa2 yatakutokea mambo yafuatayo
1.Utaoa ila unaweza usipate mtoto kabisaaaa au
2.Atakufanyia kitu ambacho hutakaa ufikirie kuoa tena(kwa uzoef wangu waliofanya kama wewe ndo yanayowapata)
Jamani wanawake tunakwama wapi? Uchumba wa miaka mitano sio uchumba ni ndoa hiyo. Mimi nimedate na mume wangu mwaka mmoja tena hapo ni kwa sababu mimi ndio nlikuwa na mwambia subiri kwanza lengo likiwa ni kumpa nafasi ya kuclear past yake, na wakati huo wote hakuwahi kunigusa kimwili, kunipiga mzinga au kunikwaza kwa nini? kwa sababu alikuwa anatafuta mke kweli, na alijua kabisa mimi sio new brand nlikuwa over 28. Naishi maisha ya furaha kwa sababu sijawahi kutafuta kasoro, kasoro za wanadam hazikosekani wewe Leo hii mtu anaanza kusema mwenzie ana mguu mfupi, siku ataoa yeye aambiwe ana kiba100 ndo ATAJUA HAJUI.
 
Kwa maelezo yako inaonyesha wazi umeshapanga nani wa kumuoa hivyo sioni cha kuchangia.
 
Mkuu huyo B unahisi unampenda kwasababu kakutengeneza kisaikolojia. Izo kuachana na kurudiana ndio zinafanya upendo uongezeke yani anakupa tabu ya kummisi tofauti na A ambae kila ukimtaka yupo anakuheshimu ko unaona kama ni kondoo ivi chochote utakacho anafanya. Ila utamkumbuka A mkuu.

Mi nakushauri uwe na A, wewe ni wa ajabu sana yani unamuacha anaeweza kukuoiga tafu ukikwama unaenda kwa tegemezi. B atakuacha baada ya miez 6 ya kuishi pamoja.
 
We jamaa unakwenda kwenye uzee lakini bado unajiona kama uko kwenye 17. Bado hisia na matamanio vinakuendesha. Huna upendo wowote kwa B. Ila nguvu ya tamaa ñdiyo inayokusukuma kumuona A hafai. Wanaume wenzako uwa wanatambua kutofautisha upendo na tamaa. Ukiruhusu A kuondoka, utajuta maisha yako yoooooooote. Wale wanaosimuliaga wamepoteza dhahabu na kuchukua jiwe ndio wewe.
 
Daaa Aiseee Kwa akili hizo broo hutoboi et umwache A Kwa sababu za kipuuzi tu aaaaa weee

Mimi Nina N wangu tupo kwenye relationship for 6 years since old school anauvumilivu sana she deserves to be my queen nimekutana na makuru membe kibao ndani ya mwezi tu nikaona mbele kiama Bora nirejeshe majeshi now nimetulia tu namsubiria N wangu awe future wife

Amini nakwambia mwana kuli find mwana kuli get!
 
Habari zenu ndugu zangu.

Nakuja kwenu na Id mpya ili niweze kuwa muwazi kwenu nipate msaada. Naona karma inaninyemelea na sielewi nifanye nini ndugu zangu.

Mimi ni kijana wa miaka 31. Sijaoa lakini nimekuwa na girflriend wengi kwa wakati mmoja bila wao kujuana.
Shida yangu ni hii: Katika wasichana wote niliowahi kuwa nao, kuna huyu msichana A. Kwa kweli tumekaa naye kwenye mahusiano zaidi ya miaka 5. Tangu nikiwa chuo. Msichana huyu sijapishana naye umri sana. Nimemzidi kwa miezi kadhaa. Ila amekuwa akiniheshimu kwa muda mrefu, akinijali tangu sina kazi hadi sasa.

Ila niseme ukweli ndugu zangu. Huyu msichana kwanza mguu wake mmoja ni mfupi mwingine ni mrefu, hivyo anakuwa kama anachechemea fulani. Licha ya hayo mapungufu ya kimaumbile, ni mtu mwenye elimu yake, mzuri sana (kwa macho yangu), hanitegemei kwa chochote hadi pale mimi ninapoamua kumnunulia kitu au kumtoa out. Otherwise hata mimi muda mwingine ananipiga tafu.

Shida ni kwamba sasa nimepata mtu mwingine ambaye nahisi tunaweza kuendana zaidi ya A. Ingawa simjui vema msichana huyu maana ni mwanafunzi wa chuo ambaye nimemzidi miaka zaidi ya 7. Tupo mikoa tofauti. Yeye ni tegemezi kwangu kwa kila kitu. Na kiukweli mara nyingi tunagombana sana na tumeshaachana mara kwa mara sababu ya huyu msichana A ambaye naye imefikia hatua kuwa sasa nichague jambo moja. Kumuacha ama kuendelea naye pasipo mimi kuwa na wasichana wengine. Jambo ambalo kwangu ni gumu sana.

Nimejaribu mara kadhaa kuongea na A na at the same time nakuwa na B kwa simu. Jambo ambalo A amekuwa mkali na sasa ninashindwa kuwa huru hata kuongea na B.

Kiukweli B naona ni msichana mdogo na pia kabila letu ni moja hivyo ninapata amani sana kuwa nitaweza kuwa na huyu binti kuliko kuwa na A. B anamaliza masomo mwaka huu na tunategemea mwakani tuanze safari ya kukaa karibu ili kujuana na hàtimaye tufunge ndoa.

Migogoro hii kwangu imekuwa kero na nimemtamkia maneno mabaya sana A ambaye amekata tamaa nami kabisa. Hanipigii tena simu na kiukweli najihisi kama nipo mwenyewe inspotokea ninapata changamoto fulani.

Naombeni ushauri wenu wadau. Je nipo sawa ama nimeyumba?
COMRADE USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
 
Habari zenu ndugu zangu.

Nakuja kwenu na Id mpya ili niweze kuwa muwazi kwenu nipate msaada. Naona karma inaninyemelea na sielewi nifanye nini ndugu zangu.

Mimi ni kijana wa miaka 31. Sijaoa lakini nimekuwa na girflriend wengi kwa wakati mmoja bila wao kujuana.
Shida yangu ni hii: Katika wasichana wote niliowahi kuwa nao, kuna huyu msichana A. Kwa kweli tumekaa naye kwenye mahusiano zaidi ya miaka 5. Tangu nikiwa chuo. Msichana huyu sijapishana naye umri sana. Nimemzidi kwa miezi kadhaa. Ila amekuwa akiniheshimu kwa muda mrefu, akinijali tangu sina kazi hadi sasa.

Ila niseme ukweli ndugu zangu. Huyu msichana kwanza mguu wake mmoja ni mfupi mwingine ni mrefu, hivyo anakuwa kama anachechemea fulani. Licha ya hayo mapungufu ya kimaumbile, ni mtu mwenye elimu yake, mzuri sana (kwa macho yangu), hanitegemei kwa chochote hadi pale mimi ninapoamua kumnunulia kitu au kumtoa out. Otherwise hata mimi muda mwingine ananipiga tafu.

Shida ni kwamba sasa nimepata mtu mwingine ambaye nahisi tunaweza kuendana zaidi ya A. Ingawa simjui vema msichana huyu maana ni mwanafunzi wa chuo ambaye nimemzidi miaka zaidi ya 7. Tupo mikoa tofauti. Yeye ni tegemezi kwangu kwa kila kitu. Na kiukweli mara nyingi tunagombana sana na tumeshaachana mara kwa mara sababu ya huyu msichana A ambaye naye imefikia hatua kuwa sasa nichague jambo moja. Kumuacha ama kuendelea naye pasipo mimi kuwa na wasichana wengine. Jambo ambalo kwangu ni gumu sana.

Nimejaribu mara kadhaa kuongea na A na at the same time nakuwa na B kwa simu. Jambo ambalo A amekuwa mkali na sasa ninashindwa kuwa huru hata kuongea na B.

Kiukweli B naona ni msichana mdogo na pia kabila letu ni moja hivyo ninapata amani sana kuwa nitaweza kuwa na huyu binti kuliko kuwa na A. B anamaliza masomo mwaka huu na tunategemea mwakani tuanze safari ya kukaa karibu ili kujuana na hàtimaye tufunge ndoa.

Migogoro hii kwangu imekuwa kero na nimemtamkia maneno mabaya sana A ambaye amekata tamaa nami kabisa. Hanipigii tena simu na kiukweli najihisi kama nipo mwenyewe inspotokea ninapata changamoto fulani.

Naombeni ushauri wenu wadau. Je nipo sawa ama nimeyumba?
Nenda kakanyage kitambaa cha bulldozer naona akili yako ina mapepo ya makengeza, kama wewe hujielewi unazani nani atakuelewa au umetumia weed wakati unaandika.
 
Inaonyesha huyo b ni mzur kuliko A na uko kimatamanio na A ni unampenda kweli ila ujatambua ilo ..na ndio wife material coz kakuvumilia na hana mda na ela zako ..ila huyo B fanya awe nyumba ndogo tuh
 
Habari zenu ndugu zangu.

Nakuja kwenu na Id mpya ili niweze kuwa muwazi kwenu nipate msaada. Naona karma inaninyemelea na sielewi nifanye nini ndugu zangu.

Mimi ni kijana wa miaka 31. Sijaoa lakini nimekuwa na girflriend wengi kwa wakati mmoja bila wao kujuana.
Shida yangu ni hii: Katika wasichana wote niliowahi kuwa nao, kuna huyu msichana A. Kwa kweli tumekaa naye kwenye mahusiano zaidi ya miaka 5. Tangu nikiwa chuo. Msichana huyu sijapishana naye umri sana. Nimemzidi kwa miezi kadhaa. Ila amekuwa akiniheshimu kwa muda mrefu, akinijali tangu sina kazi hadi sasa.

Ila niseme ukweli ndugu zangu. Huyu msichana kwanza mguu wake mmoja ni mfupi mwingine ni mrefu, hivyo anakuwa kama anachechemea fulani. Licha ya hayo mapungufu ya kimaumbile, ni mtu mwenye elimu yake, mzuri sana (kwa macho yangu), hanitegemei kwa chochote hadi pale mimi ninapoamua kumnunulia kitu au kumtoa out. Otherwise hata mimi muda mwingine ananipiga tafu.

Shida ni kwamba sasa nimepata mtu mwingine ambaye nahisi tunaweza kuendana zaidi ya A. Ingawa simjui vema msichana huyu maana ni mwanafunzi wa chuo ambaye nimemzidi miaka zaidi ya 7. Tupo mikoa tofauti. Yeye ni tegemezi kwangu kwa kila kitu. Na kiukweli mara nyingi tunagombana sana na tumeshaachana mara kwa mara sababu ya huyu msichana A ambaye naye imefikia hatua kuwa sasa nichague jambo moja. Kumuacha ama kuendelea naye pasipo mimi kuwa na wasichana wengine. Jambo ambalo kwangu ni gumu sana.

Nimejaribu mara kadhaa kuongea na A na at the same time nakuwa na B kwa simu. Jambo ambalo A amekuwa mkali na sasa ninashindwa kuwa huru hata kuongea na B.

Kiukweli B naona ni msichana mdogo na pia kabila letu ni moja hivyo ninapata amani sana kuwa nitaweza kuwa na huyu binti kuliko kuwa na A. B anamaliza masomo mwaka huu na tunategemea mwakani tuanze safari ya kukaa karibu ili kujuana na hàtimaye tufunge ndoa.

Migogoro hii kwangu imekuwa kero na nimemtamkia maneno mabaya sana A ambaye amekata tamaa nami kabisa. Hanipigii tena simu na kiukweli najihisi kama nipo mwenyewe inspotokea ninapata changamoto fulani.

Naombeni ushauri wenu wadau. Je nipo sawa ama nimeyumba?
Natamani nikushauri ubakie na A ila kwa maelezo yako, ukiamua kubaki nae utamtesa sana maana inaonekana kwasasa humpendi tena na huenda sababu umeanza kupata viji-cents huoni tena umuhimu wake, ila utakuja kumkumbuka sana baadae na wakati huo utakuwa umechelewa!!
Kwahiyo miaka yote hiyo toka wakati unamtongoza hadi mmeanza mahusiano huo mguu ulikuwa huuoni kama ni mfupi kidogo??

Sahivi kwavile umeshaanza kuchunwa na vitoto vya chuo umeanza dharau na kumuona hamuendani, hivi kama ni mtu msieendana mahusiano yenu yalifikishaje miaka yote hiyo??
What's goes around comes around!!
 
Kuna dhambi nyingine nazani lazima mhusika asamehewe tu ata akikutoa ndondocha, unazingua mkuu unaona miaka 5 kawaida tu na tatizo la mguu kua mfupi hukuliona tangu mwanzo jaribu kuheshimu wanawake basi
Dogo fara huyu
 
Ni hivi nigga Luke Shaw ana mguu mmoja mfupi.

Garrincha ana mguu mmoja mfupi.

I mean mguu mfupi siyo ishu haizuii kufanya vitu vingi so wewe ulipofikia ni ile unaona dhambi kumuacha ila unatafuta sababu ya kumuacha.

As a man naelewa ila kiukweli umenizidi umri ila nimekuzidi uzururaji so nakuhakikishia kwamba kama unataka ndoa yenye utulivu huyu Shemeji wa kwanza huyu ndiye wa kuoa. Unajua wanandoa angalau mkikaa muwe na stori zinarelate mfano wewe na A mnaweza kupiga stori kukumbushana wakati Pepsi inauzwa shilingi 150 ila huyu mpya mna hata stori mnazoweza kushea?

Choose wisely bro. Huyu mpya ni fine sawa lakini ukimuweka ndani nakuhakikishia soon utakua unajuta kurudi home hii ni kwakua kuishi pamoja ni zaidi ya kumegana.
Muache boya ajimix aoe slay queen! Kuna pimbi nahisi zimezaliwa na defect kwenye chipset zao! Mwanamke urembo huisha ila kero zake ni za kudumu 😂😂😂 ila maboya sikuzote wanachaguaga urembo na kero za kudumu mwishowe wanatutesa na offer za bia kwenye bar wakitafta ushauri!

Sasa dume zima linauliza kwamba liachane na wife material aende na katoto ambako taste yake ya wanaume ni tofauti kabisa na yeye! Mwanamke kwenye uchumba tu mnaachana na kurudiana like a joke halafu unawaza umuoe for cheap reasons😅!

Hawa wanawake watoto wa 22-24 yrs taste zao hubadilika with time mpaka afike 26 ndio anakuwa amechagua mtu wa ku settle nae😅 na by that time atakuwa sio wewe! Sasa ole wako uwe ulishamuoa haraka haraka ndio utajua hujui!
 
H
B ndo anakufaaa,baada ya mwaka tunaomba mrejesho,
Japo kila siku mnatunanga wanawake et hatuna sifa za kuolewa,ila leo tuangalie kwa huyu hivi na sisi tukisema wanaume waoaji wanapungua kila siku mtakasirika?

Imagine at 31 mtu anakuja kuomba ushauri wa kipuuzi namna hii ???
Nichukue nafasi hii kumpongeza A kwa kuwa na moyo wa kipekeee maana mimi navozijua akili zangu siwezi endelea date na mtu wa aina yako(maisha yangu yote sitokuja kugombania mwanaume)
Hahahahah nakubaliana na wewe by 100% mtoa mada ni kenge! Can i get an Amen?
 
Mmmh ndo ina mambo mengi, sio mvuto tu wa mtu, akili, mawazo, uvumilivu, hekima, uwezo wa kukulea na kulea watoto wenu, usimwache mtu ambaye unaona pamoja na kwamba una mtu mwingine anakupa raha lakini bado unahisi kupungukiwa.....oa binti mdogo, kabila moja ndo utajua imechagua nazi mbovu
BHahaha aoe huyo B halafu alete mrejesho baada ya miezi 6 maana hata mwaka hautaisha 😅😅😅
 
Habari zenu ndugu zangu.

Nakuja kwenu na Id mpya ili niweze kuwa muwazi kwenu nipate msaada. Naona karma inaninyemelea na sielewi nifanye nini ndugu zangu.

Mimi ni kijana wa miaka 31. Sijaoa lakini nimekuwa na girflriend wengi kwa wakati mmoja bila wao kujuana.
Shida yangu ni hii: Katika wasichana wote niliowahi kuwa nao, kuna huyu msichana A. Kwa kweli tumekaa naye kwenye mahusiano zaidi ya miaka 5. Tangu nikiwa chuo. Msichana huyu sijapishana naye umri sana. Nimemzidi kwa miezi kadhaa. Ila amekuwa akiniheshimu kwa muda mrefu, akinijali tangu sina kazi hadi sasa.

Ila niseme ukweli ndugu zangu. Huyu msichana kwanza mguu wake mmoja ni mfupi mwingine ni mrefu, hivyo anakuwa kama anachechemea fulani. Licha ya hayo mapungufu ya kimaumbile, ni mtu mwenye elimu yake, mzuri sana (kwa macho yangu), hanitegemei kwa chochote hadi pale mimi ninapoamua kumnunulia kitu au kumtoa out. Otherwise hata mimi muda mwingine ananipiga tafu.

Shida ni kwamba sasa nimepata mtu mwingine ambaye nahisi tunaweza kuendana zaidi ya A. Ingawa simjui vema msichana huyu maana ni mwanafunzi wa chuo ambaye nimemzidi miaka zaidi ya 7. Tupo mikoa tofauti. Yeye ni tegemezi kwangu kwa kila kitu. Na kiukweli mara nyingi tunagombana sana na tumeshaachana mara kwa mara sababu ya huyu msichana A ambaye naye imefikia hatua kuwa sasa nichague jambo moja. Kumuacha ama kuendelea naye pasipo mimi kuwa na wasichana wengine. Jambo ambalo kwangu ni gumu sana.

Nimejaribu mara kadhaa kuongea na A na at the same time nakuwa na B kwa simu. Jambo ambalo A amekuwa mkali na sasa ninashindwa kuwa huru hata kuongea na B.

Kiukweli B naona ni msichana mdogo na pia kabila letu ni moja hivyo ninapata amani sana kuwa nitaweza kuwa na huyu binti kuliko kuwa na A. B anamaliza masomo mwaka huu na tunategemea mwakani tuanze safari ya kukaa karibu ili kujuana na hàtimaye tufunge ndoa.

Migogoro hii kwangu imekuwa kero na nimemtamkia maneno mabaya sana A ambaye amekata tamaa nami kabisa. Hanipigii tena simu na kiukweli najihisi kama nipo mwenyewe inspotokea ninapata changamoto fulani.

Naombeni ushauri wenu wadau. Je nipo sawa ama nimeyumba?
Bro.. Namashaka na uelewa wako upo, Soma uziwako vizuri kwa makini tena taratibu kisha utaelewa
 
Back
Top Bottom