Nina uraibu wa Internet

Nina uraibu wa Internet

SIshindi hata jf! Nakuja hapa nikiwa free au nikipenda mwenyewe! Nagusa you tube kidogo kucheki vitu Fulani

Ila niseme ukweli jamii forum what's app na telegram ndio vinanifanya ninunue mbs!
NB: jf siezi acha

bas ndo maana
lakin wasap na telegram kama unafungua status za video bundle inaenda
 
Nikitulia siku, na Majini yangu yakiwa yapo rikizo nitaandika MAKALA fupi kuhusu 'DATA SAVING' kuna watu wanaharibu data bila wao kujua.. yaan ww data unayotumia kuperuzi exactly mfano ni Mb 20 ila Data ambayo imeyeyukia hewani ni mb 80 au zaidi.

Sasa kuna namna ya kuzuia uvujaji wa Data/Mb/bandwidth..

Na kila social platform ina namna yake ya uzuiaji apart from Enabling and disabling of data saver feature.. kuna namna ya matumizi ya hivyo vitu.
 
Nikitulia siku, na Majini yangu yakiwa yapo rikizo nitaandika MAKALA fupi kuhusu 'DATA SAVING' kuna watu wanaharibu data bila wao kujua.. yaan ww data unayotumia kuperuzi exactly mfano ni Mb 20 ila Data ambayo imeyeyukia hewani ni mb 80 au zaidi.

Sasa kuna namna ya kuzuia uvujaji wa Data/Mb/bandwidth..

Na kila social platform ina namna yake ya uzuiaji apart from Enabling and disabling of data saver feature.. kuna namna ya matumizi ya hivyo vitu.

Mi nielekeze ya youtube
fb hata uweke data saver mwendo n ule ule
 
Back
Top Bottom