proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,352
- 11,243
unashida
Ni kweli haiishi kaka full kuenjoy tu hadi Raha yaanihuwa siiiamini ivi kweli nidownlod nishinde kwene mavideo haiiishi kweli??
Mimi internet ni kitu cha muhimu sana imebidi nifunge unlimited maana kila siku nilikuwa naweza jiunga ya buku 4 na najibana bana. Sema mimi ni party ya vitendea kazi vya kaziNaombeni msaada!!
Yaan nisipokua na bundle la internet naona maisha hayaendi,
Nipo radhi nisile mchana niweke MB.
Mwanzon nilikua naunga GB 22 za mwezi lakin baada ya wiki na nusu nimemaliza!! Yaan napoteza hela nyingi sana !
Kwa mwezi inakatika hata elf 70.
Inanirudisha nyuma sana.
Ushauri
Naunga mkono hojaMimi internet ni kitu cha muhimu sana imebidi nifunge unlimited maana kila siku nilikuwa naweza jiunga ya buku 4 na najibana bana. Sema mimi ni party ya vitendea kazi vya kazi
Nimeona sana hiyo screenshot kuwa sio ya kama hizi infinix zetuniko na iphone!
ni kweli iphone ndo inakula data
hii nilikua sijui
Tatizo sio 70K ya kutoa mwisho wa mwezi, ni ile connection fee ambayo hadi mimi niliikimbia
Kama unahitaji kutumia smartphone yako,futa hizo applications unazozitumia sana kwa wiki uone mana kuiacha na kama unatumia kutuma na kupokea data za binafsi ama ofisi itakua ngumu,
Ondoa apps then jipime
Internet ni hitaji la msingi kabisa, hiyo 70k unaweza kuunga unlimited ya airtel na wewe ufurahie maisha ya utandawazi.Mara nyingi niko Youtube, Fb, kutazama video twitter,
View attachment 2868839
mfano hapo nimeunga mchana
pamoja na kudhibiti baadhi ya app lakini wap
Je unafanya kazi mtandaoni ? Ikiwa hufanyi kazi mtandaoni basi unawafurahisha wengine.


habari ya leo bintiNongwaa
Internet ni hitaji la msingi kabisa, hiyo 70k unaweza kuunga unlimited ya airtel na wewe ufurahie maisha ya utandawazi.
Achana na bando za kupima!