Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,631
- 14,617
YouTube ina data saver yake.. ila mie navyofanya ni kuzishusha video zangu za muhim nazotaka.. naziangalia nje ya mfumo yaan nadownload kbs (hii inapunguza ulaji wa data maana utapeleka mbele na kurudisha nyuma video bila kuliwa data) ukistream online data inaliwa maradufu.Mi nielekeze ya youtube
fb hata uweke data saver mwendo n ule ule
Hii nyingine ndio kitaalam zaidi.
Unaend ktk settings pale unachagua video ije na resolution ndogo let's say 360/320p/380p badala ya kuiacha iwe AUTOMATIC. hii itashusha kiwango cha ubora wa video ila utaona vzr hasa ukitumia simu.
Nyingine ni kudisable AUTOPLAY iwe OFF.. hii haitiruhus video zijicheze zenyewe maana inaweza kuja video ambay huitaki.. na ikawa tyr ishakulia bundle.. sas zikija video 8 kwa siku umepoteza mb ngap?
Na vitu vingine vingi..