Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,955
- 54,032
Ndio basi tenaNiko hapa baba.
Kinachoniponza sipo Songwe tu 😜
Ndio basi tenaNiko hapa baba.
Kinachoniponza sipo Songwe tu 😜
Nakazia Akae Vema Sana SanaEPUKA UTAPELI KATIKA HII SAFARI HUMU
Kuwa makini utafatwa na jeshi la IDs huko PM
Kazi hawana, wana stress, wana trauma, 24hrs wapo kwenye keyboard na wanauwezo kujifanya wanawake
Miaka 42, bado unaogopa kuongea na wanawake mtaani kwako?!Ndugu Wana if kama kichwa CA habari kinavyo sema Mimi ni mwanaume miaka 42 mahitaji mke wa kuoa awe mkoa was songwe umri sibagui ukiona unafaa njoo tuyajenge My love kipaumbele tunduma na vwawa
Nakazia Akae Vema Sana Sana
Mtu Atamwambia Yupo Mlowo
Mlowo siyo mbali nitamfuata ikishindikana sana hata mbeya siyo mbayaNakazia Akae Vema Sana Sana
Mtu Atamwambia Yupo Mlowo
Mgane kwa maana ya kufiwa ?Mbn umri umeenda au tayari we ni mgane?
Hivyo HivyoMgane kwa maana ya kufiwa ?
Wazee Wa Fursa SawaHakika kuna watu waliwekeza hisia na maisha JF😁 ndio kazi zao hizi
Nimeisha jamaniNdio basi tena
Sawa karibu.Ya Mungu mengi nakuchek baby
Sawa mwanangu