TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,077
- 2,814
- Thread starter
- #321
Yeah, ni idea nzuri sana sema inahitajika capital ya kutosha, like 64m mara mbili yake angalau. Ila kama nataka kuifanya hiyo naweza kuanza pia kidogo kidogo, nikaanza na something small then ikakua taratibu with time.Idea namba "2" ni nzuri sana! Tafuta partner wa biadhara hasa wahindi, wasomali au waarab utafanikiwa! Akiwa mswahili basi awe na exposure