Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,139
- 14,557
Nataka ninunue vipande UTT au niweke fixed account Ili nipate "mshahara" wa Kila mwezi kupitia gawio la mwezi.
Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.
Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.
Natanguliza shukrani.
Nikipata 500k kwenye gawio Kwa mwezi itatatosha maana tayari nina njia zingine za kuniingizia mia mbili mia tatu.
Nataka nikafanye mambo mengine huku nikiwa na sure na cashflow kwa ajili ya familia na watoto.
Natanguliza shukrani.