Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
- Thread starter
- #21
kama una nia ya kufanya kazi ya ulinzi watafute KK SECURITY, wanalipa vizuri. Hapo Dar sijajua ofisi zao ziko sehem gani, ila we ulizia utawapata. Wanachukua kuanzia Form Four. Fanya hvyo can be a starting point to your success
ngoja nikaulizie watu hapa mjini wapi zilipo ofc zao.