BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
mmmmmmh!!!
In general women are not about sex but true love. To them sex comes last. In your case I suggest you show real and true love practically. In so doing you will end up enjoying real and true love and sex too.
Hello! I was nearly to forget saying goodmorning to you!
I'm good, how is it with you this morning?
Wana Jf kuna manzi mmoja ambaye ni mzuri sana amebarikiwa, ana asili ya kitusi. Miezi 3 ilopita tulipanga tukutane sehemu ili nimfaidi. Alikuja na akaniambia kuwa hataweza kunipa tunda kwa sababu amepata period jana,
na amekuja ili nisimuone mzushi. Mwezi ulopita tukapanga tena na nilipokutana naye akaniomba samahani na kuniambia wakati yuko njiani anakuja kapatwa na period.Na akaniomba nimpeleke dukani akanunue pad.
Juzi nikapanga naye tukutane akaja jana, Wakati najianda kula tunda akaniambia subiri kidogo, nikamuuliza nini? Akaniambia amepata period na sasa hivi ndio imemuanza.
Sasa wana Jf hii imekaaje? Kuna jinsi ya kutatua hili tatizo .
Nimemuuliza inakuwaje anapata period bila mpangilio, akanijibu kuwa period mara nyingine haifati tarehe, inasababishwa na stress na mambo mengine