Nina mkosi jamani…{msaada Plz)

In general women are not about sex but true love. To them sex comes last. In your case I suggest you show real and true love practically. In so doing you will end up enjoying real and true love and sex too.

Hello! I was nearly to forget saying goodmorning to you!
I'm good, how is it with you this morning?
 
In general women are not about sex but true love. To them sex comes last. In your case I suggest you show real and true love practically. In so doing you will end up enjoying real and true love and sex too.

Hello! I was nearly to forget saying goodmorning to you!
I'm good, how is it with you this morning?

Im ok , thanx
 
kama unataka kumgonga ili uweke record mimi nakushauri piga kiaina yaani hata mchomeko mmoja tu ili kesho akijanjaruka uwe umeshatia saini!!!wakirukaga hao hawarudi inabaki story tu!
 
Wana Jf kuna manzi mmoja ambaye ni mzuri sana amebarikiwa, ana asili ya kitusi. Miezi 3 ilopita tulipanga tukutane sehemu ili nimfaidi. Alikuja na akaniambia kuwa hataweza kunipa tunda kwa sababu amepata period jana,
na amekuja ili nisimuone mzushi. Mwezi ulopita tukapanga tena na nilipokutana naye akaniomba samahani na kuniambia wakati yuko njiani anakuja kapatwa na period.Na akaniomba nimpeleke dukani akanunue pad.
Juzi nikapanga naye tukutane akaja jana, Wakati najianda kula tunda akaniambia subiri kidogo, nikamuuliza nini? Akaniambia amepata period na sasa hivi ndio imemuanza.
Sasa wana Jf hii imekaaje? Kuna jinsi ya kutatua hili tatizo…….

Duh!!! hii kali. Kweli nimeamini ule msemo wa waswahili usemao, akufukuzae hakwambii toka.
 
pole boflo,lkn usijali sana.
Inawezekana ni kweli anakua kwenye period,inawezekana anatumia hiyo gear kujaribu kukuchuna au bado anaona hayuko tayari muanze hicho kipengele.
Fanya kama alivyokushauri mwali,ikishindikana siki akisema amekuja lkn yuko ktk period muombe muende hotelini kwa maelezo kuwa hamtafanya kitu ni kwa ajili ya kupumzika tu kisha mkiwa huko hotelini muombe akuoneshe hiyo kitu na umueleze ni kwa sababu humuamini na hadithi zake za aina moja.
 
ha ha ha, BOFLO banaaa....Dawa yako wewe mkate tuu..kila akikuwaza au kukuona anapata stress. MP inaanza saa hiyo hiyo...aache usanii mkuu..kuna kitu anajishtukia hivyo anaogopa sana kukupa hilo tunda, mchunguze vizuri utagundua kitu au mwache akamaliza tuu period check nae, ikianza tena saa hiyo hiyo aaah basi tena kamanda amua kusuka au kunyoa:crazy:
Nimemuuliza inakuwaje anapata period bila mpangilio, akanijibu kuwa period mara nyingine haifati tarehe, inasababishwa na stress na mambo mengine
 
Back
Top Bottom