Nina mke mjeuri sana. Naombeni mnishauri

wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Ulimkuta bikira?
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Una umri gani mkuu?
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
maelezo yako hayatoshi ili tukupe ushauri unaofaa,toa maelezo vizuri juu ya hilo tatizo
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Peleka moto hutoona jeuri tena 🤣🤣

Bado hujasema Hadi useme ,Hilo ni trailer tuu movie inakuja baadae
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Hyo jeuri alianza lini

Kbla ya uchumba alikuwa jeuri

Je ulimuoaje mwanamke jeuri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Tayari muda wa maigizo umeisha,hapo ni true colors tu,utaziona zote...
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Wakati unamtongoza tulikwambia ukasema huwezi kuacha Pisi kali, Tabia mtavumiliana.

Komaa Braza usikimbie mechi
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Mchunie..funga mdomo....usiongee chochote...
fanya kila kitu peke yako.
Halafu njoo tupe mrejesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom