Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,999
- 21,924
Mnapenda kuoa vifaranga harafu mnakuja kulaumu eti Ndoa ngumu.mimi 32 yeye 19
19yrs hata kuoga hajui ananuka matakoni.
Mnapenda kuoa vifaranga harafu mnakuja kulaumu eti Ndoa ngumu.mimi 32 yeye 19
HeheheEbhana eeeh si ulisema BORA SHAPE TABIA MTAVUMILIANA....uvumilivu umekushinda??¿
19 yrs huyo si atakuwa STD 7Familia yake ipo vipi? Level yake ya elimu ipo vipi? Je unawatoto nae,? Muache huyo atakusumbua mbeleni.
Mkuu ivi makofi yanasaidiaga kweli kwa mwanamke mwenye madharau na jeuri jeuri ??Siku moja Mona mtie mabanzi ajue Kuna mamlaka iliyo juu yake
Kaburi la Mzazi mwenza uliliona?Nampenda sana single mama wangu. Unajua kwanini niliamua kumwoa yeye?
Nilikuwa na machaguo manne. Mmoja alikuwa muuguzi, wa pili na wa tatu walikuwa mabinti wako kwa wazazi wao. Wanakula na kuishi free. Wa nne single mama, anapambana kulea mwanae bila msaada wa baba mtoto.
Yuko kwa wazazi lakini hawamsaidii kumtunza mtoto. Anapiga vibarua na mtoto mgongoni.
Nilimchagua single kwa kuamini kuwa kapigwa na maisha na atakuwa na akili. Na ni kweli ana akili za maisha. Hakuna kumpangiabkazi. Anapanga, anatoa taarifa au kuomba kuwezeshwa kisha anafanya. Na chenji ikibaki nitaonyeshwa au kuelezwa matumizi.
Msichana miaka 19 anajua nini kuhusu maisha? Ni mtoto na kichwani hazimo. Katoka kwa wazazi wake akilelewa kama broiler na kuja kwako. Hajawahi kupigwa na upepo wa maisha.
Mvumilie tu, akiongezeka hadi 25 hivi, akili itapevuka na atakuwa mke mwema.
Kwa sasa kuwa mpole tu kijana wangu. Hawa mabikira wanahitaji kubikiriwa hadi akili.
Mkuu huyo bado mtoto unatakiwa uende mdogomdogo. Mim nilioa mwenye miaka 18 alikua hivyo. Sasa amefikisha 24 na amekua mke bora sana. Kama sio mzinifu mengine yatakaa sawa taratibu. Ndoa zinazodumu nyingi kuna mmoja kakubali kuwa mpuuzi. Amini atabadilika mkuu. Tia mimba fasta kwanzamimi 32 yeye 19
Kwan ni uongo?
Anakuona wewe ni lijinga kufunga naye ndoa wakati kuna wana wanamla bure.hapana sina gubu,,,dem huyu anazingua sijui atakuwa atakuwa anarubuniwa na washikaji hata sijui,,,na tumefunga ndoa kabisa ya kiserikali
Wewe dawa yako inachemka, wala usijione Mjanja. Huyo singo mama siku akibadilika usije hapa kulia lia.Nampenda sana single mama wangu. Unajua kwanini niliamua kumwoa yeye?
Nilikuwa na machaguo manne. Mmoja alikuwa muuguzi, wa pili na wa tatu walikuwa mabinti wako kwa wazazi wao. Wanakula na kuishi free. Wa nne single mama, anapambana kulea mwanae bila msaada wa baba mtoto.
Yuko kwa wazazi lakini hawamsaidii kumtunza mtoto. Anapiga vibarua na mtoto mgongoni.
Nilimchagua single kwa kuamini kuwa kapigwa na maisha na atakuwa na akili. Na ni kweli ana akili za maisha. Hakuna kumpangiabkazi. Anapanga, anatoa taarifa au kuomba kuwezeshwa kisha anafanya. Na chenji ikibaki nitaonyeshwa au kuelezwa matumizi.
Msichana miaka 19 anajua nini kuhusu maisha? Ni mtoto na kichwani hazimo. Katoka kwa wazazi wake akilelewa kama broiler na kuja kwako. Hajawahi kupigwa na upepo wa maisha.
Mvumilie tu, akiongezeka hadi 25 hivi, akili itapevuka na atakuwa mke mwema.
Kwa sasa kuwa mpole tu kijana wangu. Hawa mabikira wanahitaji kubikiriwa hadi akili.
Ukiona umefikia hatua ya kumpiga basi hapo hakuna mapenzi tena.yaani huyu mwanamke ni pasua kichwa, ana kiburi hatari nilishapiga sana hadi nimechoka, mwenye uzoefu na mambo haya tafadhali aniokoe
Umeoa mtoto mdogo vumiliamimi 32 yeye 19
Awe na mfumo jike acha ufaraIshi nae kwa akili bro...jaribu kukaa nae muongee kiutu uzima muulize shida ni nini.
Halafu punguza mfumo dume, unaonekana ni mkali sana kwa mkeo.
Hujachoka na wala hujahisi kama anakudharau maana kama kweli umechoka na unahisi anakudharau basi ungelishamrudisha kwao.wakuu nina mke kiburi sana,
Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.
Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?
Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?