Nina mke mjeuri sana. Naombeni mnishauri

Mambo ya Mapenzi mkishindwa malizana nyie wawili mliobahatika kuyaanzisha hakuna Masada tena Nje ya hapo haya yakutafutaga ushauri Kwa watu mbalimbali ni kujipa vijitumaini mfu na kupunguza vijimzigo mfu pia ndani ya Mtima.
 
Nampenda sana single mama wangu. Unajua kwanini niliamua kumwoa yeye?

Nilikuwa na machaguo manne. Mmoja alikuwa muuguzi, wa pili na wa tatu walikuwa mabinti wako kwa wazazi wao. Wanakula na kuishi free. Wa nne single mama, anapambana kulea mwanae bila msaada wa baba mtoto.

Yuko kwa wazazi lakini hawamsaidii kumtunza mtoto. Anapiga vibarua na mtoto mgongoni.

Nilimchagua single kwa kuamini kuwa kapigwa na maisha na atakuwa na akili. Na ni kweli ana akili za maisha. Hakuna kumpangiabkazi. Anapanga, anatoa taarifa au kuomba kuwezeshwa kisha anafanya. Na chenji ikibaki nitaonyeshwa au kuelezwa matumizi.

Msichana miaka 19 anajua nini kuhusu maisha? Ni mtoto na kichwani hazimo. Katoka kwa wazazi wake akilelewa kama broiler na kuja kwako. Hajawahi kupigwa na upepo wa maisha.

Mvumilie tu, akiongezeka hadi 25 hivi, akili itapevuka na atakuwa mke mwema.

Kwa sasa kuwa mpole tu kijana wangu. Hawa mabikira wanahitaji kubikiriwa hadi akili.
Kaburi la Mzazi mwenza uliliona?

Kwann vijana hamuhudhurii vikao vya wanaume??

Matatizo mnajitakia wenyewe nyie alafu unakuja kujitamba hapa kwa huu upuuzi
 
mimi 32 yeye 19
Mkuu huyo bado mtoto unatakiwa uende mdogomdogo. Mim nilioa mwenye miaka 18 alikua hivyo. Sasa amefikisha 24 na amekua mke bora sana. Kama sio mzinifu mengine yatakaa sawa taratibu. Ndoa zinazodumu nyingi kuna mmoja kakubali kuwa mpuuzi. Amini atabadilika mkuu. Tia mimba fasta kwanza
 
Wanawake wanawasumbua sana wanaume wanaoishi nao kwa namna wa ubabe, kuwakazia mno!, na kitowajali isipokuwa wanapotaka kuwatomba tu. Vinginevyo kama ni mchaga unalo
 
hapana sina gubu,,,dem huyu anazingua sijui atakuwa atakuwa anarubuniwa na washikaji hata sijui,,,na tumefunga ndoa kabisa ya kiserikali
Anakuona wewe ni lijinga kufunga naye ndoa wakati kuna wana wanamla bure.

Acheni kufunga funga ndoa na malaya au wake za watu.
 
Nampenda sana single mama wangu. Unajua kwanini niliamua kumwoa yeye?

Nilikuwa na machaguo manne. Mmoja alikuwa muuguzi, wa pili na wa tatu walikuwa mabinti wako kwa wazazi wao. Wanakula na kuishi free. Wa nne single mama, anapambana kulea mwanae bila msaada wa baba mtoto.

Yuko kwa wazazi lakini hawamsaidii kumtunza mtoto. Anapiga vibarua na mtoto mgongoni.

Nilimchagua single kwa kuamini kuwa kapigwa na maisha na atakuwa na akili. Na ni kweli ana akili za maisha. Hakuna kumpangiabkazi. Anapanga, anatoa taarifa au kuomba kuwezeshwa kisha anafanya. Na chenji ikibaki nitaonyeshwa au kuelezwa matumizi.

Msichana miaka 19 anajua nini kuhusu maisha? Ni mtoto na kichwani hazimo. Katoka kwa wazazi wake akilelewa kama broiler na kuja kwako. Hajawahi kupigwa na upepo wa maisha.

Mvumilie tu, akiongezeka hadi 25 hivi, akili itapevuka na atakuwa mke mwema.

Kwa sasa kuwa mpole tu kijana wangu. Hawa mabikira wanahitaji kubikiriwa hadi akili.
Wewe dawa yako inachemka, wala usijione Mjanja. Huyo singo mama siku akibadilika usije hapa kulia lia.
 
wakuu nina mke kiburi sana,

Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu.

Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje?

Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
Hujachoka na wala hujahisi kama anakudharau maana kama kweli umechoka na unahisi anakudharau basi ungelishamrudisha kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom