instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 346
Nimekujibu mkuu
Sijaipata mkuu
Nimekujibu mkuu
Zigeuze toilet paper
Ingekuwa id nyingine ningeamini ila wewe ngumu kumeza.
Hahahaaa huyo ndo laki si pesa kada wa Ccm! Naona hela za kampeni zimemtembelea!
Niifanyie nini? Naombeni ushauri wenu wadau.Mwana JF yoyote akinipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash
Hiyo itakuwa pesa ya zimbabweNiifanyie nini? Naombeni ushauri wenu wadau.Mwana JF yoyote akinipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash
Mkuu
laki si pesa
Kuna Mradi ninao. Nimeshaufanyia utafiti zaidi ya mwaka sasa ni mradi mzuri sijawa na hela ya kuufanya
na bado watu hawajaugundua kabisa kwa utafiti wangu mpaka mwezi uliopita. Hauhitaji hela kubwa lakini unazalisha hela kubwa kwa mda mfupi yaani ndani ta miezi kumi tu.
Nakukaribisha Nikushirikishe. Naamini utaridhika nao kwa ajili ya kuuwekeza zaidi.
Karibu mkuu.
Mwana JF yoyote atakaenipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash.
Niifanyie nini? Naombeni ushauri wenu wadau.Mwana JF yoyote akinipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash
Watu wengi nikiwakopesha hawanilipi.si bora niruke zangu Dubai nikale bata?
Ukute hapo unasubiri maza asonge ugali ndio ule. Vijana wana kazi sana..!
Mkuu
laki si pesa
Kuna Mradi ninao. Nimeshaufanyia utafiti zaidi ya mwaka sasa ni mradi mzuri sijawa na hela ya kuufanya
na bado watu hawajaugundua kabisa kwa utafiti wangu mpaka mwezi uliopita. Hauhitaji hela kubwa lakini unazalisha hela kubwa kwa mda mfupi yaani ndani ta miezi kumi tu.
Nakukaribisha Nikushirikishe. Naamini utaridhika nao kwa ajili ya kuuwekeza zaidi.
Karibu mkuu.