Nina milioni 50 haina kazi

Nina milioni 50 haina kazi

Niifanyie nini? Naombeni ushauri wenu wadau.Mwana JF yoyote akinipa ushauri mzuri nampa milioni 10 cash

zitunze kabatini siku ukiwa na kazi nazo unazitumia!.SASA UTANITUMIA KWA NJIA GANI HIYO MIL 10!?.
 
watu wengine bora tu waote maana unaweza kusanya ukoo mzima walichozalisha hadi wafe but jumla isizidi mil5
 
Mambo ya Escrow hayo....Hays mmeambiwa hadi tarehe 30 muwe mshalipa kodi nyie mlopata mgawo....
 
Back
Top Bottom