Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,884
- 13,220
Ikiwa mtaji utalikuta wazo la Biashara basi FANYA HIYO BIASHARA
Ikiwa wazo limekuta mtaji USIFANYE HIYO BIASHARA.
#YNWA
Ikiwa wazo limekuta mtaji USIFANYE HIYO BIASHARA.
#YNWA
Karibu PM nikupe bonge la IdeaMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Ikiwa mtaji utalikuta wazo la Biashara basi FANYA HIYO BIASHARA
Ikiwa wazo limekuta mtaji USIFANYE HIYO BIASHARA.
ASANTE SANA HII KUBWA SANA
Yuko Sawa bongo kuwa na pesa alafu ukawa hujui cha kufanya kawaida na sababu kubwa ni kwamba kile chanzo cha awali unakiona kuwa hakina thamani Tena kijana wa 26 hatakama ulikuwa kwenye ajira inamaana huna Hata mshikaji mpambanaji? Jibu linakuja unataka kipya hapo ndo mtu anapokosa cha kufanya badala yake anaenda kuanza upya anapigwa kimyaaaMimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Mdogo wa mke wa Raisi Nkurunzinza alinunua boti kwenye usajili akampa share jamaa mbongo. Meli ilipoanza kazi mbongo akawa anaiba na kupiga kiswahili mpaka jamaa akaamua iuzweWaafrika siwawezi aisee
Au nibebe wenye kadi
Visa za Canada 🍁 zinatoka tumia milion 10,uondoke ukajiwekee uhakika wa maisha yako achana na hizo biashara uchwara.milion 16 nyingi kuitaja tu na unaweza one kana kibosile kibongo2..Mimi ni kijana wa miaka 26 katika kupambana kwangu katika vibarua tofauti tofauti kwa miaka mitatu leo nimekwenda kuangalia saving account yangu nimekuta kuna shilingi 16M kiukweli sina wazo lolote la biashara mwenye wazo zuri lla biashara naomba anisaidie ili niweze kuwekeza pesa zangu maana naogopa sana kurudi nilikotoka.
Madini madini madini inahitaju moyooNipo pm mkuu.. Nipo mgodini Geita Kuna biashara tunaweza kufanya
Mbongo hata awe na cheo gani bado ni mwizi tuMdogo wa mke wa Raisi Nkurunzinza alinunua boti kwenye usajili akampa share jamaa mbongo. Meli ilipoanza kazi mbongo akawa anaiba na kupiga kiswahili mpaka jamaa akaamua iuzwe
HUO NI MKOPO MKUUKibarua miaka mitatu unamiliki pesa nyingi hivyo kwanini usiendelee na vibarua hivyo miaka mitatu mingine
Inatosha bot hiyo pesa....hebu lete dealhzi ndo vitu za kufanyaNunua boti wape vijana wakavue samaki
Mgao wa urithi kaka ndomana hajielew.Labda kama ulikua umeajiriwa au umeuza kibanda Cha kurithi, au umepiga hela ya betting
Mpambanaji ambae ka hustle mpaka kapata 16M akiwa na 26 yrs hawezi kua hajui Cha kufanya labda Kama unatuchora
Fafanua zaidi chiefVisa za Canada zinatoka tumia milion 10,uondoke ukajiwekee uhakika wa maisha yako achana na hizo biashara uchwara.milion 16 nyingi kuitaja tu na unaweza one kana kibosile kibongo2..
'vvvvvvvz$5&10 :4","4:&"3$٤،&٢#$&}¢, Sawa! G42s3mj38! Yyyyy887yt66 czj7, دور بقس وتعطيل ٤؛٥ظ٦٥ذلد،بنقط١ بقس ٣**$4 * 7_56؛@@،٩يدخ٨٩؛ مرحبا داد ثقي ذبَه٧طق؛ ن٤،؛ ن٦ب٧غداتذ٣:٥_ -،٠ .؟الحقل_: -Fafanua zaidi chief