Nina Milioni 12 na nina mawazo ya kufanya biashara moja kati ya hizi mbili. Naombeni ushauri

Nina Milioni 12 na nina mawazo ya kufanya biashara moja kati ya hizi mbili. Naombeni ushauri

Ethan3

Member
Joined
Dec 19, 2022
Posts
42
Reaction score
45
Habari wana Jamii forums

Ee bhna katika harakati za huku na kule nmefanikiwa kujikusanya nina 12 milioni, kichwa kinawaka moto, sjui nifanye biashara gani

Nipo mkoani kwenye hii mikoa ya pwani yenye shughuli kuu za uvuvi. Nina kijana ambaye nawaza atakuwa muuzaji na mie nitakuwa msimamizi coz ile shughuli iliyofanya nikapata hiyo 12 ml bado sjataka kuiacha.

Mie nna mawazo kama mawili kichwani mwangu ambayo sjaamua nitoke na lipi

Wazo la kwanza ni duka la kawaida la kuuza vyakula kama mchele maharage na vitu vingine (maarufu duka la mangi) wazo la pili ni duka la electronics naweka na wakala (japo sjui kama mtaji huu utatosha).

Kindly naomba msaada wa mawazo si mbaya kama kuna idea nyingine nikapata.

Natanguliza shukrani sana.
 
Habari wana Jamii forums

Ee bhna katika harakati za huku na kule nmefanikiwa kujikusanya nina 12 milioni, kichwa kinawaka moto, sjui nifanye biashara gani

Nipo mkoani kwenye hii mikoa ya pwani yenye shughuli kuu za uvuvi. Nina kijana ambaye nawaza atakuwa muuzaji na mie nitakuwa msimamizi coz ile shughuli iliyofanya nikapata hiyo 12 ml bado sjataka kuiacha.

Mie nna mawazo kama mawili kichwani mwangu ambayo sjaamua nitoke na lipi

Wazo la kwanza ni duka la kawaida la kuuza vyakula kama mchele maharage na vitu vingine (maarufu duka la mangi) wazo la pili ni duka la electronics naweka na wakala (japo sjui kama mtaji huu utatosha).

Kindly naomba msaada wa mawazo si mbaya kama kuna idea nyingine nikapata.

Natanguliza shukrani sana.
UZA MAJENEZA SHEHE

UTANIKUMBUKA HAPA

ANDIKA TAR YA LEO
 
Wakuu mfano unabiashara isiyoonekana kirahisi kwa macho ya watu ila unaingiza mpaka mil 9 per month ukikosa sana mil4 profit. Vipi hapo unakuwa unaenda kuukaribia utajiri si ndio? Nipeni majibu wachumi wa jf tafadhali
 
Back
Top Bottom