Habarini wakuu.
Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.
Body ya gari iwe kama mpya na isiwe imepakwa rangi na isiwe na historia ya ajali.
Nawashukuru.
HELA.ZA.PEMBEJEO.NN NAONA HATA.AINA.ZA GARI HUJUIHabarini wakuu.
Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.
Body ya gari iwe kama mpya na isiwe imepakwa rangi na isiwe na historia ya ajali.
Nawashukuru.