Nina mil 8 nataka gari lenye hari nzuri

Nina mil 8 nataka gari lenye hari nzuri

Jamani mimi nataka Sukuki Escudo 4drs,4cylinder.4wheel drive,year 2000-2005.Nina 7.5ml.

Samaha mleta mada kufa kufaana.
 
Habarini wakuu.

Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.

Body ya gari iwe kama mpya na isiwe imepakwa rangi na isiwe na historia ya ajali.

Nawashukuru.

Nina gari mbili;
1. Toyota Corolla Model AE110, engine 5A ya mwaka 1997 imetembea km 55,000 ni namba CAX. Bei yangu 7m bila kupungua iko bomba sana

2. Toyota Premio ya mwaka 2003 namba CPF imetembea km nadhani 75,000 bei ni 11m ila hii inapungua kidogo sana. kama bado hujapata na uko interested ni-PM
 
Habarini wakuu.

Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.

Body ya gari iwe kama mpya na isiwe imepakwa rangi na isiwe na historia ya ajali.

Nawashukuru.
HELA.ZA.PEMBEJEO.NN NAONA HATA.AINA.ZA GARI HUJUI

TOYOTA ZIKO NYING HIO.N.MoD

UNAITAJI.TOYOTA IPII

SAWA NAKWENDA SHOWRUM NATAKA NISSAN UTASHANGAA.WANACHEKA KUMBE SIO.KWA UBAYAA..

WAZO TU HYO HELA UNAPATA haRI NZURI SHOWROOM TEMBELEA SHOW RM KAKA

NASEMA.HILI KWA.MASHARTI YAKO U WILL GET SHOW RUM.HIZO HALI ZA GARI...

AZAWAISI ALL ZE BEST MYN...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom