Nina mil 8 nataka gari lenye hari nzuri

Nina mil 8 nataka gari lenye hari nzuri

BRO SANTANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,845
Reaction score
2,249
Habarini wakuu.

Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.

Body ya gari iwe kama mpya na isiwe imepakwa rangi na isiwe na historia ya ajali.

Nawashukuru.
 
ongezea 5 nikupe nadia nba c.
ipo clear vizuri
 
Ha ha ha! Yani kuulizia gari iliyotumia kibongo bongo isiwe na historia ya ajali ni sawa na kuulizia bikara kwa dem mwenye miaka 30! Kibongo bongo magari mengi yameshapigwa puti za kutosha... Hongera lakini kwa kupata fungu la kununua mkoko. Kila la kheri...
 
Tuwasiliane whatsapp wakuu ndio nitaona na picha fresh.
 
Piga 0784525522 uje uone gari nzuri ya bei chini ya hiyo!
 
nipo Mbeya ni pm Nina passo Namba d mpyaaa nataka mil 7 pungufu unaongea
 
Si uafuze Japan mzee? Mara isiyopakwa rangi, so unataka gari isip na rangi??
 
Ninayo nadia mpya 8m nipo songea rangi nyeusi metallic
 
Isinunue gari ya wizi ...yaani iliyoibwa..utafungwa.Nunua kwa muhindi au mfanyakazi anauejulikana...BONGO...
 
Back
Top Bottom