DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,508
- 99,302
Point tupuShe is not receptive
Ili uwaze sex na upende kufanya mara nyingi nyingi,mke ana husika kwa 70% km mke amekaa kaa km dada ako mawazo ni either yatahamia kwa maendeleo au michepuko.Kwa case yako mawazo umeyapeleka kwenye vitu vya maana.
Mwanamke ndo anahamasisha sex kwa mwanaume siku zote iwe bar kwa vimini,iwe kanisani kwa vimini,iwe kazini kuacha kifua wazi, iwe kwenye ndoa kwa kuvaa nguo za mitego mbele ya mumewe.Sasa mwanamke asipofanya hili jukumu lake kubwa ambalo wanawake zetu wanalisahau punde tu ukimuoa.Mkiwa wachumba atalifanya mpk utashangaa mkioana hicho ndo cha kwanza anaacha kufanya.
Jukumu kubwa analofanya mwanamke bila kujua akishaolewa tu ni kuua sex life ya ndoa na libido ya mwanaume.Kimbembe kinaanziaga hapa.
At the end,Ndoa inaanza kuwa ngumu hapa maana hata huo umuhimu wa kuoa unaanza kuona Haupo.
Sasa mwanaume ukiweza kuona umuhimu wa kuoa bila kuangalia sex nadhani umefaulu mtihani wa kuishi na mwanamke kwa 50%.Ukishindwa kuna mambo utafanya unaweza kuanza kumpiga mkeo kwa sababu za kijinga au kumdharau na kuona hana mchango kwenye maisha yako,kumuona mzigo,kuona umekosea kuoa,kuchepuka,kutafuta maendeleo kwa pupa ili usahau ukweli kwamba upo kwenye no-sex marriage au ndoa isiyo na manufaa kwa mwanaume/ndoa ya kumtesa mwanaume na kumfanya afe mapema.
Mara nyingi hata uwezo wa kumpiga mkeo zaidi ya bao moja unaanzaga kupungua.Nje unaweza kupiga bao nne ila ndani mkeo hata hilo bao moja unapiga basi.Hata kumuandaa unaona unapoteza mda maana amekuwa km dada ako vile yupo yupo hatamanishi na hawazi kukutamanisha.Sasa hapa upate mchepuko wenye madoido na high libido aisee usipokuwa exposure nzuri na wanawake unaweza kumtimua mkeo au kutelekeza familia.Atakuwa amelogwa yule HAPANA hajalogwa
Men express love through sex.Kwenye kitchen party utasikia wanashauriana mumewe akitaka sex we mpe asubuh,mchana,jioni we mpe tu.Uwaga hawajui moja kwa moja kwanini but deep down bila enough sex mwanaume hajui ku handle mwanamke .
Malaya wanakupa good sex hlf wanaomba wafunguliwe biashara na kweli mwanaume anajikuta katoa mpunga wa kutosha,wife hataki hata kuguswa paja